Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza..

December 25 huwa ni siku ambayo wakristo wengi duniani wanaungana kwa pamoja kusherehekea sikukuu ya Christmas, japo sikukuu inawahusu wakristo lakini huwa ni siku ya mapumziko kwa ujumla kwa watu wote bila kujali dini zao. Sasa nimekutana na hii stori kutoka Uingereza, labda nikufahamishe tu kwamba kama ikitokea December 25 2015 utakuwa na jukumu au […]

The post Christmas sio kila mtu anasherehekea, hawa hapa watakuwa kazini kama kawaida Uingereza.. appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kurejea shuleni baada ya corona: 'Watoto watakuwa na wasiwasi hasa - lakini ni kawaida'

Virusi vya corona vimeathiri mambo ya msingi katika ukuaji wa watoto kijamii na kisaikolojia.

 

11 years ago

TZToday

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika

Tazama nchi gani watakuwa Majirani zako wapya kama Pangea ikiunganika
(Map of Pangea With Current International Borders)

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video)

Kila watu wana utamaduni wao, kama utamaduni wako ni kusherehekea kwa kukaa na familia yako nyumbani, basi kwingine sio hivyo… na kama umezoea kukutana na sherehe za marafiki na ndugu, basi Peru kuna sherehe za maadui !! Countdown ya siku kuelekea Christmas inazidi kujivuta, zimebaki kama siku tatu tu hivi kuifikia December 25 2015, siku […]

The post Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida

Hatimaye wafanyabiashara wa Kariakoo wamefungua maduka yao baada ya kufikiwa makubaliano kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) ya kuunda kamati ya pamoja itakayoshughulikia matatizo yao.

 

11 years ago

Michuzi

snoop dogg aacha gumzo uingereza kwa kufikia hoteli ya kawaida ya bei poa

Na Sultani KipingoAnajulikana kwa kutumbua maraha na kuishi kifahari, lakini rapa milionea Snoop Dogg ameacha gumzo huko Uingereza kwa kukaa katika hoteli ya bei ya chini ya Holiday Inn Express wakati wa onesho lake katika kitongoji cha Devon, Exeter, wikiendi ilopita  Msanii huyu wa Marekani, ambaye alilipwa pauni za Uingereza 22,000 (sawa na 60,236,000/- za madafu) kwa onesho hilo la masa mawwili katiika ukumbi wa klabu ndogo ya usiku ya Timepiece, alikaa kwenye hoteli hiyo kwa bei ya...

 

11 years ago

GPL

MAN UTD KAMA KAWAIDA YAO, WALALA 2-1 KWA STOKE CITY

BAO: Charlie Adam (kushoto) akiifungia Stoke bao la pili dhidi ya Man Utd. Kulia ni Wyne Rooney. SAFI KIJANA WANGU: Kocha wa Stoke City, Mark Hughes akimpongeza mchezaji wake Charlie Adam baada ya kuishushia kipigo Man Utd.…

 

10 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI KAMA KAWAIDA YAKE AZIDI KUTAMBA MTAANI JIJINI DAR

Mr.Championi akimpatia zawadi msomaji wa Gazeti la Championi Jumamosi baada ya kumkuta nalo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani