Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida

Hatimaye wafanyabiashara wa Kariakoo wamefungua maduka yao baada ya kufikiwa makubaliano kati ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) ya kuunda kamati ya pamoja itakayoshughulikia matatizo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MADUKA DDC KARIAKOO YAWAKA MOTO

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya maduka yaliyopo eneo la DDC Kariakoo, Dar yanawaka moto!

 

10 years ago

Habarileo

Kariakoo wafunga maduka, kumsaka bosi wao

Naibu Kamishna Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon SiroWAFANYABIASHARA wa Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameandamana hadi kituo cha Polisi cha Kati, wakidai wapewe taarifa wapi alipopelekwa Mwenyekiti Taifa wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja.

 

9 years ago

GPL

TASWILA BAADHI YA MADUKA YA KARIAKOO KATIKA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI

Baadhi ya maduka yaliyopo Kariakoo yakionekana kufungwa kupisha vuguvugu la uchaguzi mkuu. Maduka yaliyopo maeneo ya Msimbazi-Kariakoo yakiwa yamefungwa.…

 

11 years ago

GPL

MAN UTD KAMA KAWAIDA YAO, WALALA 2-1 KWA STOKE CITY

BAO: Charlie Adam (kushoto) akiifungia Stoke bao la pili dhidi ya Man Utd. Kulia ni Wyne Rooney. SAFI KIJANA WANGU: Kocha wa Stoke City, Mark Hughes akimpongeza mchezaji wake Charlie Adam baada ya kuishushia kipigo Man Utd.…

 

10 years ago

GPL

MR. CHAMPIONI KAMA KAWAIDA YAKE AZIDI KUTAMBA MTAANI JIJINI DAR

Mr.Championi akimpatia zawadi msomaji wa Gazeti la Championi Jumamosi baada ya kumkuta nalo.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakazi warejelea biashara zao Kariakoo

Wakazi wengi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam wamerejelea biashara zao baada ya kuzifunga kwa muda kutokana na uchaguzi uliofanyika Jumapili ingawa wateja si wengi.

 

10 years ago

Habarileo

MSD sasa yaanzisha maduka ya rejareja

 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Cosmas Mwaifwani BOHARI Kuu ya Dawa nchini (MSD) imesema ifikapo Januari 30 mwakani itakuwa imetekeleza mabadiliko makubwa yenye lengo la kuhakikisha dhima ya ‘Kuwezesha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba vyenye ubora kwa bei nafuu kwa Watanzania wote’ inatekelezwa kwa vitendo.

 

11 years ago

GPL

WAFANYA BIASHARA WA KARIAKOO KUJIACHIA COCO BEACH

Msemaji wa Hazina Capital, Rachel Ndauka (kulia) na William Joseph (kushoto) wakiongea na wanahabari (hawapo pichani). Hazina Capital tunapenda kujitambulisha/kuwatangazia Watanzania juu ya soko jipya la  biashara litakalojumuisha wafanyabiashara wa bidhaa za aina mbalimbali  kutoka Kariakoo  na  kuwapa nafasi ya kuonyesha pamoja na kuuza bidhaa zao Coco Beach  ambalo tumeliita ‘Kariakoo at Coco...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani