MADUKA DDC KARIAKOO YAWAKA MOTO
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya maduka yaliyopo eneo la DDC Kariakoo, Dar yanawaka moto!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
K-Mondo yapiga hodi DDC Kariakoo
BAADA ya kuwaburudisha wakazi wa viunga vya Mbezi Beach kwa takriban miaka mitano bila kutoka Wilaya ya Kinondoni, bendi ya K-Mondo Sound imeanza kushika kasi na kuvuka mipaka ambako wiki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
TMJ YAWAKA MOTO
10 years ago
CloudsFM31 Oct
NDEGE YAANGUKA YAWAKA MOTO
Mamlaka ya uwanja wa ndege imethibitisha kutokea kwa ajali ya ndege moja ambayo imegonga jengo la kuongozea ndege katika uwanja wa Wichita, Kansas Marekani.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema ndege hiyo imepata ajali hiyo muda mfupi uliopita ambapo iligonga jengo hilo na kuwaacha takribani watu kumi wakiwa wamenasa ndani ya jengo na haijafahamika bado kuhusiana na hali zao.
Hakuna taarifa zinazoelezea kuhusiana na ukubwa wa ndege hiyo wala idadi ya watu waliokuwamo ndani. Picha zilizoenea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSKhBMan-DitwLCTEhG*dfjUg4PhfrvnrhCMW4u7cKKil5CDKysR-UWB*GaYIiQ0sUBlCd7RiOlOq7R0ZEKulNbo/mai.jpg)
NDOA YA MAI YAWAKA MOTO!
11 years ago
GPLMAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA
11 years ago
MichuziNYUMBA YAWAKA MOTO JIJINI MBEYA
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Maduka Kariakoo sasa biashara kama kawaida
10 years ago
Habarileo28 Jan
Kariakoo wafunga maduka, kumsaka bosi wao
WAFANYABIASHARA wa Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameandamana hadi kituo cha Polisi cha Kati, wakidai wapewe taarifa wapi alipopelekwa Mwenyekiti Taifa wa Jumuiya ya Wafanyabiashara, Johnson Minja.
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Meli ya MV Royal yawaka moto Bahari ya Hindi
Vikosi vya uokoaji vikizima mato uliozuka katika Meli ya MV Royal leo.
Abiria wakitolewa katika Meli ya MV Royal na kuwekwa kwenye MV Serengeti.
Meli ya MV Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba imewaka moto leo ikiwa majini katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ni kwamba chanzo cha moto huo ni hitilafu iliyotokea katika injini ya meli hiyo.
Meli ya MV Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja inaendelea na zoezi la uokoaji katika meli hiyo.