Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA

Wananchi Iringa mjini wakilitazama daladala lililowaka moto wakati likiwa kwa mafundiwa kuchomelea leo eneo la uwanja wa samora.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BASI LA NGANGA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO KISHA MAGARI YOTE YAWAKA MOTO

Basi la Nganga linalofanya safari zake Iringa na Kilombero limegongana uso kwa  uso na Fuso kisha magari hayo kuteketea kwa moto huko maeneo ya Milimani kilometa kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kama unaenda Morogoro. Inasadikika kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengine kujeruiwa vubaya. Chanzo chetu kunasema kuwa ajali hii imetokea leo asubuhi. 
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa.

 

10 years ago

Michuzi

nyumba, magari mawili yateketezwa kwa moto katika vurugu eneo la Olasiti jijini Arusha leo

Vurugu kubwa zinaripotiwa kutokea leo maeneo ya Olasiti jijini Arusha baaada ya habari ambazo bado kuthibitishwa rasmi zimeanza kufuatia mtu mmoja kukuta mfanyakazi wake wa kike akiwa  amelala  na anayedaiwa kuwa mpenzi wake ndani ya nyumba anayofanyia kazi. Inasemekana baba mwenye nyumba alikasirika sana kwa kitendo hicho na akampiga huyo kijan hadi akafa. Ndipo marafiki wa huyo anayedaiwa kuuwawa wakakusanyika nyumbani hapo na kuchoma moto nyumba na magari mawili kabla askari wa kutuliza...

 

11 years ago

GPL

TMJ YAWAKA MOTO

Wakiendelea kuzima moto katika Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam. Wagonjwa wakitolewa nje katika Hospital ya TMJ baada ya kuwaka moto. Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam inawaka moto hivi sasa. Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda waliyopo eneo la tukio, moto huo umesababishwa na shoti ya umeme nyuma ya…

 

10 years ago

CloudsFM

NDEGE YAANGUKA YAWAKA MOTO

Mamlaka ya uwanja wa ndege imethibitisha kutokea kwa ajali ya ndege moja ambayo imegonga jengo la kuongozea ndege katika uwanja wa Wichita, Kansas Marekani.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema ndege hiyo imepata ajali hiyo muda mfupi uliopita ambapo iligonga jengo hilo na kuwaacha takribani watu kumi wakiwa wamenasa ndani ya jengo na haijafahamika bado kuhusiana na hali zao.

Hakuna taarifa zinazoelezea kuhusiana na ukubwa wa ndege hiyo wala idadi ya watu waliokuwamo ndani. Picha zilizoenea...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA MAI YAWAKA MOTO!

Mayasa Mariwata na Gladness Malya Ooh…noo! Ile ndoa ya Mtangazaji Maimartha Jesse`Mai’ na mumewe, Raymond Shayo ‘Shaa’ inadaiwa kuwaka moto kufuatia ‘gogoro’ la ndani kwa ndani la mara kwa mara kwa wanandoa hao, kisa kikielezwa kwamba ni wivu uliokithiri wa mwanaume huyo. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na staa huyo, Shaa amefikia hatua ya kumkataza Mai kuhudhuria kwenye shughuli mbalimbali za...

 

11 years ago

GPL

MADUKA DDC KARIAKOO YAWAKA MOTO

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya maduka yaliyopo eneo la DDC Kariakoo, Dar yanawaka moto!

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA YAWAKA MOTO JIJINI MBEYA

Wakazi wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo,kutokana na hitilafu ya umeme iliyojitokeza.haijadhibitika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliedhulia kwenye tukio hilo lililotokea mchana wa leo jijini humo. Sehemu ya mali zilizokuwemo kwenye nyumba hiyo zikiwa zimeteketea zote kwa moto huo. Majirani wakiangali kupitia dirishani kuona namna...

 

9 years ago

Global Publishers

Meli ya MV Royal yawaka moto Bahari ya Hindi

meli

Vikosi vya uokoaji vikizima mato uliozuka katika Meli ya MV Royal leo.

meli 2

Abiria wakitolewa katika Meli ya MV Royal na kuwekwa kwenye MV Serengeti.

Meli ya MV Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba imewaka moto leo ikiwa majini katika Bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ni kwamba chanzo cha moto huo ni hitilafu iliyotokea katika injini ya meli hiyo.

Meli ya MV Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja inaendelea na zoezi la uokoaji katika meli hiyo. 

 

10 years ago

Vijimambo

CLUB OLYMPIA YA SINZA YAWAKA MOTO JANA USIKU

Haikuweza kufahamika kwa haraka chanzo cha ajali hiyo ya moto.Askari wa Zimamoto wakiendelea na jitihada za kumaliza kabisa moto huo...Gari la zimamoto likiwa eneo la tukio hadi leo asubuhi.Hali ya moshi iliendelea hadi asubuhi ya leo kama picha hizi zinavyoonekana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani