snoop dogg aacha gumzo uingereza kwa kufikia hoteli ya kawaida ya bei poa
![](http://1.bp.blogspot.com/-ICnnPld1xY0/U-pym1vqVTI/AAAAAAAF_FA/n9lLq2w59E0/s72-c/article-2722770-2078C76800000578-980_306x423.jpg)
Na Sultani KipingoAnajulikana kwa kutumbua maraha na kuishi kifahari, lakini rapa milionea Snoop Dogg ameacha gumzo huko Uingereza kwa kukaa katika hoteli ya bei ya chini ya Holiday Inn Express wakati wa onesho lake katika kitongoji cha Devon, Exeter, wikiendi ilopita Msanii huyu wa Marekani, ambaye alilipwa pauni za Uingereza 22,000 (sawa na 60,236,000/- za madafu) kwa onesho hilo la masa mawwili katiika ukumbi wa klabu ndogo ya usiku ya Timepiece, alikaa kwenye hoteli hiyo kwa bei ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Nov
Snoop Dogg aanzisha bidhaa za bangi ‘Leafs by Snoop’
![leafs-by-snoop-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/leafs-by-snoop-2015-billboard-650-300x194.jpg)
Snoop Dogg ameamua kuanzisha biashara kupitia kitu anachokipenda zaidi duniani – bangi.
Rapper huyo ameanzisha bidhaa zitokanazo na majani hayo maarufu duniani kupitia chapa ya ‘Leafs by Snoop.’
Snoop amezindua mradi huo Jumatatu hii huko mbele ya waandishi wa habari na watu wengine.
“Since I’ve been at the forefront of this movement for over 20 years now, I’m a master of marijuana. So naturally, my people can trust that I picked out the finest, freshest products in the game. Let’s...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Jua Cali huyoo kwa Snoop Dogg, Dr Dre
NAIROBI, KENYA
MKALI wa wimbo wa ‘Kwaheri’, Paul Nunda ‘Jua Cali’, anatarajia kusonga mbele kimataifa kutokana na mpango wake wa kufanya kazi na wasanii wakali duniani akiwemo, Snoop Dogg na Dr Dre.
Jua Cali hakutoa wimbo mpya tangu mwaka 2008 alipotoa wimbo wa ‘Kwa heri’ uliokuwa kwenye chati za juu Afrika Mashariki, lakini kwa sasa msanii huyo amewekeza muziki wake katika soko la kimataifa hasa kwa wasanii wa Marekani, Snoop na Dr. Dre.
“Ninaamini nina uwezo mkubwa kwa kuwa nilifanya...
10 years ago
Bongo514 Oct
Iggy Azalea amchana Snoop Dogg kwa kumtania Instagram kwa picha ya mwanamke albino
11 years ago
GPL10 Jun
9 years ago
Bongo517 Dec
Video: Christina Milian Ft. Snoop Dogg – Like Me
![milian1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/milian1-300x194.jpg)
Christina Milian anaendelea kuachia single baada ya single hii ni video yake mpya ya wimbo unaitwa “Like Me” itakuwa inapatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina amemshirikisha rapper Snoop Dogg.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo523 Dec
Music: Snoop Dogg – ‘I’m From Long Beach
![snoop-long-beach](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/snoop-long-beach-300x194.jpg)
Snoop Dogg reps the 213 on his hometown anthem “I’m From Long Beach.” The Doggfather, who released his Pharrell-produced album Bush in May, takes it back to his roots on the West Coast jam.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo16 Jan
SNOOP DOGG SASA KUITWA BABU
![](http://cdn03.cdn.justjared.com/wp-content/uploads/2015/01/dogg-grandpa/snoop-dogg-is-a-grandpa-at-43-02.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-VQFzrltQhqs%2FVLiICyvyUjI%2FAAAAAAADVmg%2FFV7rv_HZ-cA%2Fs1600%2F5121e75dc9ebf.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-ktmZhpxe7hc%2FVLiICGeoAXI%2FAAAAAAADVmY%2FgzZquZPXBUE%2Fs1600%2F5286ef399ea19.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Snoop Dogg afungua mtandao wa watumiaji bangi
NEW YORK, MAREKANI
STAA wa muziki nchini Marekani, Snoop Dogg, amefungua mtandao wake mpya ambao utawahusisha watu wanaotumia bangi na vitu vya asili hiyo.
Mtandao huo ameupa jina la ‘Merry Jane’, huku akiwataka wanaotaka kujua zaidi kuhusu bangi wajiunge nao kwa ajili ya kufahamu zaidi, kingine kilichopo katika mtandao huo ni habari za biashara, siasa, utamaduni na afya.
Snoop Dogg amesema mtandao huo utafunguliwa rasmi Oktoba mwaka huu na tayari amefanya mazungumzo na baadhi ya watu...