Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti
>Ziara ya rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck imeacha mjadala mzito kisiwani hapa kutokana na kitendo chake cha kutumia usafiri wa boti kuja Unguja na kutembea kwa miguu hadi Hoteli ya Serena ya Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rfxakhWD68Q/VNGiLETuANI/AAAAAAAHBcE/QiMIkStle80/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck kuwasili zanzibar kwa boti asubuhi hii
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ICnnPld1xY0/U-pym1vqVTI/AAAAAAAF_FA/n9lLq2w59E0/s72-c/article-2722770-2078C76800000578-980_306x423.jpg)
snoop dogg aacha gumzo uingereza kwa kufikia hoteli ya kawaida ya bei poa
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Rais Zanzibar Dkt. Shein aenda Uingereza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, katika ukumbi wa Mapumziko ya Viongozi VIP uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Uingereza kwa safari maalum.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakiagana na Viongozi mbali mbali na wazee wa Chama...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Diamond aacha gumzo Kusini
MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Diamond Platinumz ameahidi kuwatendea haki wakazi wa mikoa ya Kusini kwa kufanya ziara kila mwaka kama shukrani, kwani safari yake ya kimuziki...
10 years ago
GPLBIBI AFARIKI, AACHA GUMZO
10 years ago
Habarileo06 Feb
Barabara zote za ndani kukarabatiwa Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akiwa na mwenyeji wake, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Mfuko wa Barabara Zanzibar umedhamiria kuzifanyia ukarabati barabara za ndani katika majimbo ya uchaguzi Unguja na Pemba ili kurahisisha huduma za usafiri.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SOKUSkeY848/VXLa5y2e0EI/AAAAAAAHcdw/TIo-88uD158/s72-c/2015-06-05T024925Z_428392559_GF10000117742_RTRMADP_3_CHINA-SHIP.jpg)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA CHINA KUFUATIA VIFO VYA WACHINA 400 KATIKA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SOKUSkeY848/VXLa5y2e0EI/AAAAAAAHcdw/TIo-88uD158/s640/2015-06-05T024925Z_428392559_GF10000117742_RTRMADP_3_CHINA-SHIP.jpg)
Meli ya kitalii ya Eastern Star ilizama katika Mto wa Yangtze, karibu na mji wa Jianli, Jimbo la Kati la Hubei, Jumatatu usiku ikiwa na abiria 456 waliokuwa wanafanya safari ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MAALIM SEIF ASAFIRI KWA BOTI KWENDA DAR NA KURUDI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-WbEdAuAiRq8/VYKuBXof9iI/AAAAAAAHg4w/AfkvTb0zom8/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nVhwnWoCPF8/VYKuBfJbMkI/AAAAAAAHg4s/0sCF9rL_omc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)