Iggy Azalea amchana Snoop Dogg kwa kumtania Instagram kwa picha ya mwanamke albino
Iggy Azalea hajapendezwa na utani wa Snoop Dogg. Hivi karibuni, Snoop alipost picha ya utani (meme) kwenye ukurasa wake wa Instagram inayomuonesha mwanamke albino na kuandika: “Iggy Azalea No Make Up.” Iggy hajafurahishwa na utani huo na ametumia Twitter kumwambia ukweli. “Kwanini upost picha ya aina hiyo kwenye Insta wakati huwa unawatuma mabodyguard wako kuniomba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo516 Oct
Snoop Dogg amwomba msamaha Iggy Azalea baada ya kushauriwa na T.I
11 years ago
Bongo525 Oct
Iggy Azalea aonesha dalili za kutotaka kufanya collabo na Snoop Dogg, aachia single mpya ‘Beg For It’ (Audio)
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Jua Cali huyoo kwa Snoop Dogg, Dr Dre
NAIROBI, KENYA
MKALI wa wimbo wa ‘Kwaheri’, Paul Nunda ‘Jua Cali’, anatarajia kusonga mbele kimataifa kutokana na mpango wake wa kufanya kazi na wasanii wakali duniani akiwemo, Snoop Dogg na Dr Dre.
Jua Cali hakutoa wimbo mpya tangu mwaka 2008 alipotoa wimbo wa ‘Kwa heri’ uliokuwa kwenye chati za juu Afrika Mashariki, lakini kwa sasa msanii huyo amewekeza muziki wake katika soko la kimataifa hasa kwa wasanii wa Marekani, Snoop na Dr. Dre.
“Ninaamini nina uwezo mkubwa kwa kuwa nilifanya...
11 years ago
Michuzi
snoop dogg aacha gumzo uingereza kwa kufikia hoteli ya kawaida ya bei poa
9 years ago
Bongo511 Nov
Snoop Dogg aanzisha bidhaa za bangi ‘Leafs by Snoop’

Snoop Dogg ameamua kuanzisha biashara kupitia kitu anachokipenda zaidi duniani – bangi.
Rapper huyo ameanzisha bidhaa zitokanazo na majani hayo maarufu duniani kupitia chapa ya ‘Leafs by Snoop.’
Snoop amezindua mradi huo Jumatatu hii huko mbele ya waandishi wa habari na watu wengine.
“Since I’ve been at the forefront of this movement for over 20 years now, I’m a master of marijuana. So naturally, my people can trust that I picked out the finest, freshest products in the game. Let’s...
10 years ago
Bongo522 Jan
Iggy Azalea: Nimeibadilisha Hip Hop