Snoop Dogg amwomba msamaha Iggy Azalea baada ya kushauriwa na T.I
Hatimaye Snoop Dogg amemuomba msamaha rapper wa Australia Iggy Azalea baada ya utani uliozaa beef wiki hii kupitia Twitter na Instagram. Snoop alipost clip ya video Instagram siku ya Jumatano October 15 akimuomba msamaha Iggy na kusema amefikia uamuzi huo baada ya kuongea na rapper T.I anayetarajiwa kuwarusha mashabiki wa Tanzania Jumamosi hii pale Leaders […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Oct
Iggy Azalea aonesha dalili za kutotaka kufanya collabo na Snoop Dogg, aachia single mpya ‘Beg For It’ (Audio)
10 years ago
Bongo514 Oct
Iggy Azalea amchana Snoop Dogg kwa kumtania Instagram kwa picha ya mwanamke albino
11 years ago
Bongo504 Jul
Baada ya utata wa BET Awards: Iggy Azalea ajibu alivyochukulia maneno ya Nicki Minaj
9 years ago
Bongo511 Nov
Snoop Dogg aanzisha bidhaa za bangi ‘Leafs by Snoop’
![leafs-by-snoop-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/leafs-by-snoop-2015-billboard-650-300x194.jpg)
Snoop Dogg ameamua kuanzisha biashara kupitia kitu anachokipenda zaidi duniani – bangi.
Rapper huyo ameanzisha bidhaa zitokanazo na majani hayo maarufu duniani kupitia chapa ya ‘Leafs by Snoop.’
Snoop amezindua mradi huo Jumatatu hii huko mbele ya waandishi wa habari na watu wengine.
“Since I’ve been at the forefront of this movement for over 20 years now, I’m a master of marijuana. So naturally, my people can trust that I picked out the finest, freshest products in the game. Let’s...
10 years ago
Bongo522 Jan
Iggy Azalea: Nimeibadilisha Hip Hop
10 years ago
GPL19 Sep