Baada ya utata wa BET Awards: Iggy Azalea ajibu alivyochukulia maneno ya Nicki Minaj
Baada ya tuzo za BET 2014, kuliibuka maswali mengi kuhusu kama Nicki Minaj kweli alimdiss rapper mwenzake wa kike Iggy Azalea. Minaj aliamua kuelezea na kuweka mambo sawa kwa kile alichokiongea baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Female Hip Hop Artist’. Nicki aliamua kuzungumzia suala hilo kupitia Twitter na kusema vyombo vya habari vinamuwekea maneno […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo520 Jul
‘Iggy Azalea aliumizwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET’ asema boyfriend wake
Pamoja na rapper mwenye asili ya Australia, Iggy Azalea kudai kuwa hakusumbuliwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET mwishoni mwa mwezi uliopita, mpenzi wake Nick Young anayecheza kikapu na timu ya Los Angeles Lakers, ameliambia New York Daily News kuwa kauli ya Nicki na maneno ya watu mtandaoni, vilimuumiza ‘demu’ wake huyo. […]
10 years ago
Bongo526 Aug
Hakuna beef: Iggy Azalea ampongeza Nicki Minaj backstage MTV-VMA (video)
Baada ya kuwepo na tetesi za beef kati ya rapper wa kike mzaliwa wa Australia Iggy Azalea na Nicki Minaj, marapper hao Jumapili iliyopita (Agosti 24) walikutana backstage kwenye tuzo za MTV VMA na kuziuwa kabisa tetesi hizo. Baada ya Nicki kuperform single yake mpya ‘Anaconda’ akiwa anajiandaa kuhojiwa na MTV backstage ndipo Iggy alipita […]
10 years ago
Bongo514 Oct
Iggy Azalea aongoza nomination za 2014 ‘American Music Awards’, pata orodha kamili
Majina ya wasanii wanaowania tuzo za 2014 ‘American Music Awards’ (AMA) yametangazwa Jumatatu wiki hii, na rapper mzaliwa wa Australia Iggy Azalea ndiye aliyetajwa kuwania vipengele vingi zaidi, anawania vipengele sita. Iggy anawania kipengele cha ‘Msanii bora wa mwaka’ huku akichuana na wakali wengine akiwemo Beyonce, ‘Msanii mpya wa mwaka’, ‘Wimbo bora wa mwaka’, ‘Favorite […]
10 years ago
Bongo516 Oct
Snoop Dogg amwomba msamaha Iggy Azalea baada ya kushauriwa na T.I
Hatimaye Snoop Dogg amemuomba msamaha rapper wa Australia Iggy Azalea baada ya utani uliozaa beef wiki hii kupitia Twitter na Instagram. Snoop alipost clip ya video Instagram siku ya Jumatano October 15 akimuomba msamaha Iggy na kusema amefikia uamuzi huo baada ya kuongea na rapper T.I anayetarajiwa kuwarusha mashabiki wa Tanzania Jumamosi hii pale Leaders […]
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Sam Smith na Nicki Minaj wang'ara BET
Sam Smith ameshinda tuzo la msani bora mpya katika tamasha la mwaka huu la tuzo za BET mjini Los Angeles.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDD7urhYo4JSPVwk*si*eAIlmdfP7brze0lkSUTEM5*OJjgR9p-3yPFTe2jS5qHFkUsaKZ5zBKYcCP9egraTYxBO/brown_minaj.jpg?width=650)
CHRIS BROWN, NICKI MINAJ VINARA WA KUTAJWA TUZO ZA BET 2015
Chris Brown na Nicki Minaj wote wanawania tuzo katika vipengele 6. WANAMUZIKI Chris Brown na Nicki Minaj wameongoza kwa kutajwa mara nyingi katika vipengele vya kuwania Tuzo za BET 2015 kwa kila mmoja kutajwa mara sita. Nicki Minaj. Katika kipengele cha video bora ya mwaka, Brown ametajwa mara mbili kwa video zake za Loyal na New Flame.
Minaj naye yupo juu akitajwa katika vipengele sita kikiwemo cha video bora ya mwaka kwa...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
WANAOGAMBANIA TUZO ZA BET HAWA HAPA AMBAO NI PAMOJA NA BRAKE, BIG SEAN, NICKI MINAJ
![](http://theboombox.com/files/2015/09/Drake-BigSean-NickiMinaj-630x420.jpg)
Drake is feeling blessed right now. The Toronto rap star nabbed a whopping 12 nominations for the 2015 BET Hip-Hop Awards. Fellow rhymers Big Sean and Nicki Minaj also garnered some major nods as well.
Drizzy is a nominee in categories including Album of the Year (If You’re Reading This It’s Too Late), Hustler of the Year, Lyricist of the Year and Sweet 16 for his guest verse on Big Sean’s “Blessings.”
Speaking of Sean Don, the Detroit rhymer...
10 years ago
Bongo519 Dec
Ex wa Nicki Minaj afikiria kujiua baada ya kupigwa kibuti!
Aliyekuwa boyfriend wa Nicki Minaj ameumizwa na kitendo cha kupigwa kibuti kiasi kwamba anafikiria kujiua. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Safaree Samuels amewaambia washkaji zake kuwa ameumizwa na kuvunjika kwa uhusiano wake wa miaka 12 na Nicki. Kutokana na hali hiyo amekuwa akijifungia ndani usiku na mchana akivuta bangi na amezungumza wazi kuhusu kutaka […]
10 years ago
Bongo517 Sep
Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya kukataliwa na ile aliyosoma
Nicki Minaj amealikwa kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule ya jijini New York baada ya ombi lake la kutembelea shule aliyosomea kukataliwa wiki iliyopita. Hivi karibuni rapper huyo alizungumza na uongozi wa shule ya Fiorello H. LaGuardia High School na kuuomba aitembelee kama na kuzungumza na wanafunzi lakini uongozi ulimtosa. Kwenye ujumbe wa Twitter, Nicki […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania