Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya kukataliwa na ile aliyosoma
Nicki Minaj amealikwa kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule ya jijini New York baada ya ombi lake la kutembelea shule aliyosomea kukataliwa wiki iliyopita. Hivi karibuni rapper huyo alizungumza na uongozi wa shule ya Fiorello H. LaGuardia High School na kuuomba aitembelee kama na kuzungumza na wanafunzi lakini uongozi ulimtosa. Kwenye ujumbe wa Twitter, Nicki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Dec
Nicki Minaj avunja rekodi nyingine kwenye chati za Billboard
10 years ago
Bongo519 Dec
Ex wa Nicki Minaj afikiria kujiua baada ya kupigwa kibuti!
11 years ago
Bongo504 Jul
Baada ya utata wa BET Awards: Iggy Azalea ajibu alivyochukulia maneno ya Nicki Minaj
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Wanafunzi wahamishiwa shule nyingine
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU APOKEA VITABU KUCHANGIA SHULE ALIYOSOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RInrpizNBvA/VWXSgH5FaUI/AAAAAAAHaI4/2UgyuzNRRSY/s320/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi aliyosoma ya Kakuni iliyoko kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi.
Waziri Mkuu amepokea msaada huo jana mchana (Jumanne, Mei 26, 2015) kwenye shule mpya ya msingi Kakuni ambayo bado inaendelea kujengwa kwenye kijiji cha Kibaoni.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi mara baada ya kupokea msaada huo, Waziri Mkuu Pinda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyALDhy*h4gDuNGzM55AYLFKjDFvf7rPSP-hUlYyfgVQDPTSNQ5yLWLLbCsfjJHuKooWJd7pgd01laBhhrUpa39Tr/NickiMinajpareddownherusuallyovertopmakeupreadrainbow.jpg?width=650)
NICKI MINAJ ATANGAZA NI MJAMZITO
9 years ago
Mtanzania21 Nov
SAMUELS AMCHOKOZA NICKI MINAJ
NEW YORK, MAREKANI
MPENZI wa zamani wa Nick Minaj, Safaree Samuels, amemchokoza mrembo huyo kwa kudai kwamba amemsaidia
sana kuandika nyimbo kali ambazo zimempa jina.
Samuels amesisitiza kwamba bila yeye Nick asingefika alipo, kwani mafanikio ya msanii huyo yametokana na kumwandikia nyimbo kali kama ‘Only’ambayo alimshirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne, ‘Flawless’ ambaye
alimshirikisha Beyonce na ‘Feeling Myself’ aliomshirikisha Bey.
“Kila wakati nilikuwa nakaa naye na kumwandikia...