Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya kukataliwa na ile aliyosoma

Nicki Minaj amealikwa kwenda kuzungumza na wanafunzi wa shule ya jijini New York baada ya ombi lake la kutembelea shule aliyosomea kukataliwa wiki iliyopita. Hivi karibuni rapper huyo alizungumza na uongozi wa shule ya Fiorello H. LaGuardia High School na kuuomba aitembelee kama na kuzungumza na wanafunzi lakini uongozi ulimtosa. Kwenye ujumbe wa Twitter, Nicki […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj avunja rekodi nyingine kwenye chati za Billboard

Single ya Nicki Minaj ’Only’ imefanikiwa kukamata nafasi ya kwanza kwenye Hot R&B/Hip-Hop Songs chart za Billboard, na kumfanya awe msanii wa kike aliyewahi kuwa na nyimbo nyingi zaidi zilizofika nafasi ya kwanza tokea chati hizo zianzishwe miaka 56 iliyopita. Nicki amevunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na Missy Elliot aliyekuwa na nyimbo tatu zilizokamata nafasi ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Ex wa Nicki Minaj afikiria kujiua baada ya kupigwa kibuti!

Aliyekuwa boyfriend wa Nicki Minaj ameumizwa na kitendo cha kupigwa kibuti kiasi kwamba anafikiria kujiua. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Safaree Samuels amewaambia washkaji zake kuwa ameumizwa na kuvunjika kwa uhusiano wake wa miaka 12 na Nicki. Kutokana na hali hiyo amekuwa akijifungia ndani usiku na mchana akivuta bangi na amezungumza wazi kuhusu kutaka […]

 

11 years ago

Bongo5

Baada ya utata wa BET Awards: Iggy Azalea ajibu alivyochukulia maneno ya Nicki Minaj

Baada ya tuzo za BET 2014, kuliibuka maswali mengi kuhusu kama Nicki Minaj kweli alimdiss rapper mwenzake wa kike Iggy Azalea. Minaj aliamua kuelezea na kuweka mambo sawa kwa kile alichokiongea baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Female Hip Hop Artist’. Nicki aliamua kuzungumzia suala hilo kupitia Twitter na kusema vyombo vya habari vinamuwekea maneno […]

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wahamishiwa shule nyingine

Wanafunzi 752 waliokuwa wakisoma katika Shule ya Msingi Magole ambayo nayo ilikumbwa na mafuriko yaliyotokea wiki iliyopita, wamehamishiwa katika madarasa ya akiba ya Shule ya Sekondari Magole na kutakiwa kusoma kwa awamu mbili.

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

10 years ago

Vijimambo

FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B

Mkuu wa Idara ya ukaguzi wa Mahesabu FNB Baraka Thomas (kushoto) akikata utepe kwa ajili ya kumkabidhi MwalimuMkuu wa Shule ya Msingi Msasani B, Bw.Victor Kamuli madarasa baada ya kufanyiwa ukarabati pia ilikabidhi madawati na mikoba ya shule hivi karibuni jijini Dar as Salaam. Mfanyakazi wa FNB Bi Dora Bundala akimuelekeza kuchora mwanafunzi wa darasa la kwanza wakati FNB ilipokabidhi madarasa , mikoba ya shule , vitabu ,na rangi Katika shule ya Msingi Msasani B hivi karibuni jijini...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU APOKEA VITABU KUCHANGIA SHULE ALIYOSOMA



WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amepokea msaada wa vitabu 895 vyenye thamani ya sh. milioni 6.5/- ikiwa ni jitihada ya wadau mbalimbali kuchangia shule ya msingi aliyosoma ya Kakuni iliyoko kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoani Katavi.
Waziri Mkuu amepokea msaada huo jana mchana (Jumanne, Mei 26, 2015) kwenye shule mpya ya msingi Kakuni ambayo bado inaendelea kujengwa kwenye kijiji cha Kibaoni.
Akizungumza katika hafla hiyo fupi mara baada ya kupokea msaada huo, Waziri Mkuu Pinda...

 

10 years ago

GPL

NICKI MINAJ ATANGAZA NI MJAMZITO

Rapa wa kike aliyejizolea umaarufu kutoka lebo ya Cash Money, Nicki Minaj. Burgettstown, Pennsylvania RAPA wa kike aliyejizolea umaarufu kutoka lebo ya Cash Money, Nicki Minaj hivi karibuni ametangaza kuwa ni mjamzito. Nicki (32) aliweka wazi alipokuwa jukwaani katika tamasha kubwa lililojumuisha ziara yake ijulikanayo kama Pinkprint huko Pennsylvania ambapo alipanda na mchumba wake, Meek Mill na kusema;
“Piga kelele...

 

9 years ago

Mtanzania

SAMUELS AMCHOKOZA NICKI MINAJ

Nicki MinajNEW YORK, MAREKANI

MPENZI wa zamani wa Nick Minaj, Safaree Samuels, amemchokoza mrembo huyo kwa kudai kwamba amemsaidia
sana kuandika nyimbo kali ambazo zimempa jina.

Samuels amesisitiza kwamba bila yeye Nick asingefika alipo, kwani mafanikio ya msanii huyo yametokana na kumwandikia nyimbo kali kama ‘Only’ambayo alimshirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne, ‘Flawless’ ambaye
alimshirikisha Beyonce na ‘Feeling Myself’ aliomshirikisha Bey.

“Kila wakati nilikuwa nakaa naye na kumwandikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani