SNOOP DOGG SASA KUITWA BABU
Snoop Dogg mwenye umri wa miaka 43 sasa ni babu baada ya mtoto wake wa kiume Corde Broadus mwenye umri wa miaka 21 kupata kinda mwenzake siku ya tarehe 10, Mama wa mtoto huyo ni Jessica Kyzer mwenye umri wa miaka 23 na mwenye professional ya Modeling huko Anaheim, California.
Mama wa mtoto Zion ndo huyu.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Nov
Snoop Dogg aanzisha bidhaa za bangi ‘Leafs by Snoop’
![leafs-by-snoop-2015-billboard-650](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/leafs-by-snoop-2015-billboard-650-300x194.jpg)
Snoop Dogg ameamua kuanzisha biashara kupitia kitu anachokipenda zaidi duniani – bangi.
Rapper huyo ameanzisha bidhaa zitokanazo na majani hayo maarufu duniani kupitia chapa ya ‘Leafs by Snoop.’
Snoop amezindua mradi huo Jumatatu hii huko mbele ya waandishi wa habari na watu wengine.
“Since I’ve been at the forefront of this movement for over 20 years now, I’m a master of marijuana. So naturally, my people can trust that I picked out the finest, freshest products in the game. Let’s...
9 years ago
Bongo523 Dec
Music: Snoop Dogg – ‘I’m From Long Beach
![snoop-long-beach](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/snoop-long-beach-300x194.jpg)
Snoop Dogg reps the 213 on his hometown anthem “I’m From Long Beach.” The Doggfather, who released his Pharrell-produced album Bush in May, takes it back to his roots on the West Coast jam.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
GPL10 Jun
9 years ago
Bongo517 Dec
Video: Christina Milian Ft. Snoop Dogg – Like Me
![milian1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/milian1-300x194.jpg)
Christina Milian anaendelea kuachia single baada ya single hii ni video yake mpya ya wimbo unaitwa “Like Me” itakuwa inapatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina amemshirikisha rapper Snoop Dogg.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Snoop Dogg afungua mtandao wa watumiaji bangi
NEW YORK, MAREKANI
STAA wa muziki nchini Marekani, Snoop Dogg, amefungua mtandao wake mpya ambao utawahusisha watu wanaotumia bangi na vitu vya asili hiyo.
Mtandao huo ameupa jina la ‘Merry Jane’, huku akiwataka wanaotaka kujua zaidi kuhusu bangi wajiunge nao kwa ajili ya kufahamu zaidi, kingine kilichopo katika mtandao huo ni habari za biashara, siasa, utamaduni na afya.
Snoop Dogg amesema mtandao huo utafunguliwa rasmi Oktoba mwaka huu na tayari amefanya mazungumzo na baadhi ya watu...
9 years ago
Bongo523 Nov
Music: Christina Milian Feat. Snoop Dogg – Like Me
![milian-like-me](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/milian-like-me-300x194.jpg)
Staa wa muziki wa R&B Marekani, Christina Milian kwa sasa ameachia single yake mpya kutoka kwenye EP yake, wimbo unaitwa “Like Me” amemshirikisha (Uncle) Snoop Dogg.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Jua Cali huyoo kwa Snoop Dogg, Dr Dre
NAIROBI, KENYA
MKALI wa wimbo wa ‘Kwaheri’, Paul Nunda ‘Jua Cali’, anatarajia kusonga mbele kimataifa kutokana na mpango wake wa kufanya kazi na wasanii wakali duniani akiwemo, Snoop Dogg na Dr Dre.
Jua Cali hakutoa wimbo mpya tangu mwaka 2008 alipotoa wimbo wa ‘Kwa heri’ uliokuwa kwenye chati za juu Afrika Mashariki, lakini kwa sasa msanii huyo amewekeza muziki wake katika soko la kimataifa hasa kwa wasanii wa Marekani, Snoop na Dr. Dre.
“Ninaamini nina uwezo mkubwa kwa kuwa nilifanya...
9 years ago
Bongo509 Sep
Music: Wiz Khalifa Ft. Snoop Dogg — No Social Media