USIKU MWEMA KWA WOTE WASOMAJI WA MTANDAO WETU,NA KAZI NJEMA KWA WOTE MLIOPO MAKAZINI
![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIydg4qmBQ/XrjoMw7d-KI/AAAAAAALpuk/Dqmk6472CuU-ifIjwzXbPam6sumwz0jpwCLcBGAsYHQ/s72-c/54081c48-442b-437b-85c5-e4fb82d2d292.jpg)
MTANDAO WA WANAWAKE LAKIMOJA WATOA PONGEZI KWA WAMAMA WOTE
MTANDAO wa Wanawake Laki Moja (100,000 WOMEN) wenye lengo la kuunganisha na Wanawake, kupambana na Ukatili wa Kijinsia na Umasikini hapa nchini umetoa pongezi kwa akina Mama wote walio mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
Pongezi hizo zimetolewa leo ambayo ni siku ya Kina Mama (Mother's Day ) ambapo wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano.
"WanawakeLakiMoja tunawapongeza kina Mama wote wa Tanzania na duniani kwa ujumla.Kazi kubwa wanazozifanya za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s72-c/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI MFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-VQuQhlD_M0s/XmlGOQv9ZvI/AAAAAAALiqw/39GjovLacykchPqj9MjCfsdMXufi8q8ywCLcBGAsYHQ/s640/JPEG.-NA.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/JPEG.-NA.-2-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati) akisisitiza jambo kwa Meneja Mtandao wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wa Mkoa wa Songwe, Castuly Puka (wa pili kushoto) baada ya kuzindua mnara wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zH0W867zq4Y/Vczp823ZtNI/AAAAAAAHwZQ/AmX_dWEMDyg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7t3xx-fl3FA/Vczp-_pNcPI/AAAAAAAHwZ8/JqfhHJF_lOo/s640/unnamed.jpg)
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
![](http://2.bp.blogspot.com/-RCv2jQP8O9M/Vczp98oxdAI/AAAAAAAHwZs/x22-LVv3RNQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-5_PztcKW--s/U83-O2mmk9I/AAAAAAAAP4g/sbI_K7em_HQ/s72-c/SAFARI%2BWALL%2BPP.png)
MARRY X-MAS EVE - JUMATANO- SAFARI RESTAURANT INAPENDA KUWAKARIBISHA WOTE KUSHEHEREKEA USIKU WA XMAS KWA PUNGUNGUZO LA 20 %
![SAFARI RESTAURANT WASHINGTON DC](http://1.bp.blogspot.com/-5_PztcKW--s/U83-O2mmk9I/AAAAAAAAP4g/sbI_K7em_HQ/s661/SAFARI%2BWALL%2BPP.png)
Tunapenda Kuwatakia Xmas Njema Wateja wetu wote,Jumatano Usiku wa kuhamkia Xmas tunatoa punguzo la asilimia 25% kwa kila ENTREE ili kuwezesha watu wote kuikaribisha Xmas ndani ya Safari Restaurant Washington DC,
TUNAFUNGUA KUANZIA 5PM-11PM,NA SIKU YA ALHAMISI TUTAFUNGA ili Kuwawezesha wafanyakazi wetu Kusheherekea XMas pamoja na Familia Zao.
ADDRESS ni 4306 Georgia Avenue,NW,Washington,DC,20011,KARIBUNI.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-V13tLYegyhA/Tqd1eaZ5BgI/AAAAAAAARB0/yqIqTp9O_c8/s72-c/vijimambo.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iXxKcA36kog/XspOkxKKKHI/AAAAAAACLbE/tBUb_TK07oEw4nXXN_sQR9HGC6Awhkn6ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200524-WA0012.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZPCobi68rE/Xsl_LITGljI/AAAAAAAAnsE/bz2EcCPK7s0OhWUI92kCodFr2JUItrvqACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
MUFTI WA TANZANIA AWATAKIAKIA WAISLAMU WOTE DUNIANI SIKU KUU NJEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZPCobi68rE/Xsl_LITGljI/AAAAAAAAnsE/bz2EcCPK7s0OhWUI92kCodFr2JUItrvqACLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Napenda kuchukua fursa hii kusema kuwa mwezi umeonekana maeneo mbalimbali ikiwemo Lam, Mombasa, Nawapa mkono wa Eid el fitri Waislamu kote Duniani ambao wamehitimisha Ibada ya mwezi mzima wa mfungo mtukufu wa Ramadhan. Pia napenda kuchukua fulsa hii kuwakumbusha kuchukua tahadhari wote tukumbuke maagizo tunayo pewa na Serikali kupitia Wataalamu wake wa Afya kuendelea kuchukua maelekezo juu ya ugonjwa hatari wa CORONA. Na
Kupitia maombi yenu Mwenyezi...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Modewjiblog: Tunawatakia upigaji kura mwema Watanzania wote, Amani yetu, Taifa letu !
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[HARARE-ZIMBABWE]
Jumapili ya leo Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania linafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hatua ambayo wananchi watapiga kura ya NDIO kwa mgombea wanayemtaka wao. Kwa kuzingatia amani na utulivu wetu, Mtandao wa Modewjiblog inaungana na Watanzania wote popote walipo kutakia kila lakheri katika siku hii muhimu na ya kihistoria ambayo utokea mara moja kila...