MTANDAO WA WANAWAKE LAKIMOJA WATOA PONGEZI KWA WAMAMA WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIydg4qmBQ/XrjoMw7d-KI/AAAAAAALpuk/Dqmk6472CuU-ifIjwzXbPam6sumwz0jpwCLcBGAsYHQ/s72-c/54081c48-442b-437b-85c5-e4fb82d2d292.jpg)
NA MWANDISHI WETU.
MTANDAO wa Wanawake Laki Moja (100,000 WOMEN) wenye lengo la kuunganisha na Wanawake, kupambana na Ukatili wa Kijinsia na Umasikini hapa nchini umetoa pongezi kwa akina Mama wote walio mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
Pongezi hizo zimetolewa leo ambayo ni siku ya Kina Mama (Mother's Day ) ambapo wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano.
"WanawakeLakiMoja tunawapongeza kina Mama wote wa Tanzania na duniani kwa ujumla.Kazi kubwa wanazozifanya za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/G8icHtTqOlI/default.jpg)
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA PONGEZI KWA MH.RAISI WA TANZANIA, RAISI WA ZANZIBAR NA VIONGOZI WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
Ndugu viongozi wote wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi diaspora, wawakilishi wa serikali ya Tanzania ndani na nje ya nchi, taasisi za kitaifa na kimataifa, mashirika ya kijamii, mashirika binafsi, viongozi mbalimbali; itifaki imezingatiwa.
Awali ya yote napenda kumshukuru M/Mungu kwa kutupa uzima na afya njema kuweza kutekeleza majukumu yetu ya kila siku ikiwemo kusimamia sera na utendaji wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi huku diaspora. Pia napenda...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!
Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]
The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT
Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.
TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/O-q70EuDvck/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DbQ2tuw9UFI/U6KxDpd-BQI/AAAAAAAFro8/NijwOtE43G4/s72-c/1A.jpg)
Airtel Divas watoa msaada kwa wanawake wasiojiweza
Wafanyakazi hao wa Airtel walifanya uzinduzi rasmi wa Airtel Divas na kualika kikundi cha SWAUTA kuonyesha na kuuza bidhaa zao kwa wafanyakazi wa Airtel na kuwawezesha kupata fedha kwaajili ya kuwa na banda lao katika maonyesho ya 38 ya kimataifa ya SABASABA.
Akiongea wakati wa uzinduzi huo...
9 years ago
StarTV21 Nov
Mtandao wa wanawake walaani kuzomewa kwa Dk Ackson
Mtandao wa wanawake wa Katiba na Uchaguzi wamelaani kitendo cha baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumuuliza maswali ya kejeli na kumzomea Naibu Spika Wa Bunge, Dokta Tulia Ackson na kuudhalilisha utu wa mwanamke wakati akijieleza kabla ya kupigiwa kura na kuidhinishwa na Bunge.
Wamesema kitendo hicho ni cha udhalilishaji na aibu kufanywa ndani ya chombo kikubwa cha uamuzi na baadhi ya wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi.
Akizungumzia kitendo hicho ambacho...
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Siku ya wanawake duniani 2020: Wanawake watoa wito wa usawa