Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!
Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]
The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela
![Dela-Maranga](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dela-Maranga-300x194.jpg)
Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.
Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.
This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...
9 years ago
Bongo511 Dec
Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’
![adele_two](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/adele_two-300x194.jpg)
Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.
Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.
“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Alaine covers Adele’s ‘Hello’ (Reggae Cover)
![alaine hello](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/alaine-hello-300x194.jpg)
Alaine Laughton, known by her first name, is a Jamaican American Reggae singer and songwriter. She was born in New Jersey, but moved to Jamaica at the age of three.
With her sweetest voice in Reggae music, Alaine adds Jamaican sweet flavor to Adele’s viral new single, “Hello”.
With a team made of Shane C. Brown and Dean Fraser, the idea couldn’t go wrong at all. The cover was voiced at Penthouse Studio for JukeBoxx Productions, while the video available below was shot at Tuff Gong...
9 years ago
Bongo516 Dec
Audio: Jors Bless afanya cover ya ‘Hello’ ya Adele, ni noma
![hello cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/hello-cover-300x194.jpg)
Zimetoka cover maelfu za wimbo wa Adele, Hello. Jors Bless anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya cover yake. Isikilize hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo517 Nov
Music: Hizi ni cover 2 za wimbo wa Adele ‘Hello’ zilizofanywa na wasanii wa Nigeria
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-300x194.jpg)
Zimebaki siku 5 hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele itimize mwezi mmoja toka ulipotoka Oct. 23. Wanamuziki kutoka sehemu mbalimbali duniani wamejitokeza kufanya cover za wimbo huo.
Ukiacha kina Joe Thomas, Alaine, Demi Lovato na wengine ambao wamefanya cover ya ‘Hello’, wapo wasanii kutoka Afrika ambao wamefanya cover ya ‘Hello’.
Sikiliza na tazama cover version ya muimbaji wa RnB Praiz ambaye alishinda tuzo ya Afrima ‘Best African R&B/Soul Artiste’ pamoja na Omawumi wote kutoka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wSIydg4qmBQ/XrjoMw7d-KI/AAAAAAALpuk/Dqmk6472CuU-ifIjwzXbPam6sumwz0jpwCLcBGAsYHQ/s72-c/54081c48-442b-437b-85c5-e4fb82d2d292.jpg)
MTANDAO WA WANAWAKE LAKIMOJA WATOA PONGEZI KWA WAMAMA WOTE
MTANDAO wa Wanawake Laki Moja (100,000 WOMEN) wenye lengo la kuunganisha na Wanawake, kupambana na Ukatili wa Kijinsia na Umasikini hapa nchini umetoa pongezi kwa akina Mama wote walio mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
Pongezi hizo zimetolewa leo ambayo ni siku ya Kina Mama (Mother's Day ) ambapo wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano.
"WanawakeLakiMoja tunawapongeza kina Mama wote wa Tanzania na duniani kwa ujumla.Kazi kubwa wanazozifanya za...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
9 years ago
Bongo507 Nov
Mwanamke ashambuliwa kwa kuzungumza Kiswahili Marekani
![woman](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/woman-300x194.jpg)
Mwanamke aitwaye, Asma Jama ameshambuliwa nchini Marekani kwa kuongea Kiswahili.
Jama alikuwa amekaa na familia yake kwenye mgahawa wa Applebee huko Minnesota, akikata kiu na juice huku mazungumzo yakiendelea kabla ya kujeruhiwa vibaya mdomoni. Mwanamke aliyekuwa amekaa jirani yake alimponda na glasi nzito ya bia mdomoni.
Sababu? Jama alikuwa akizungumza Kiswahili na familia yake.
“Siamini baada ya miaka yote hii mtu ananipiga sababu niko tofauti,” alisema Jama. “Mtu ananipiga kwasababu...
10 years ago
TheCitizen12 Apr
COVER: Kiswahili part of culture