Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!

Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]

The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela

Dela-Maranga

Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.

adele na dela

Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.

This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’

adele_two

Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.

Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.

“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Alaine covers Adele’s ‘Hello’ (Reggae Cover)

alaine hello

Alaine Laughton, known by her first name, is a Jamaican American Reggae singer and songwriter. She was born in New Jersey, but moved to Jamaica at the age of three.

alaine hello

With her sweetest voice in Reggae music, Alaine adds Jamaican sweet flavor to Adele’s viral new single, “Hello”.

With a team made of Shane C. Brown and Dean Fraser, the idea couldn’t go wrong at all. The cover was voiced at Penthouse Studio for JukeBoxx Productions, while the video available below was shot at Tuff Gong...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Jors Bless afanya cover ya ‘Hello’ ya Adele, ni noma

hello cover

Zimetoka cover maelfu za wimbo wa Adele, Hello. Jors Bless anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya cover yake. Isikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Hizi ni cover 2 za wimbo wa Adele ‘Hello’ zilizofanywa na wasanii wa Nigeria

adele-25-cover

Zimebaki siku 5 hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele itimize mwezi mmoja toka ulipotoka Oct. 23. Wanamuziki kutoka sehemu mbalimbali duniani wamejitokeza kufanya cover za wimbo huo.

adele-25-cover

Ukiacha kina Joe Thomas, Alaine, Demi Lovato na wengine ambao wamefanya cover ya ‘Hello’, wapo wasanii kutoka Afrika ambao wamefanya cover ya ‘Hello’.

Sikiliza na tazama cover version ya muimbaji wa RnB Praiz ambaye alishinda tuzo ya Afrima ‘Best African R&B/Soul Artiste’ pamoja na Omawumi wote kutoka...

 

5 years ago

Michuzi

MTANDAO WA WANAWAKE LAKIMOJA WATOA PONGEZI KWA WAMAMA WOTE

NA MWANDISHI WETU.

MTANDAO wa Wanawake Laki Moja  (100,000  WOMEN) wenye lengo la kuunganisha na Wanawake, kupambana na Ukatili wa Kijinsia na Umasikini hapa nchini umetoa pongezi kwa akina Mama wote walio mstari wa mbele kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.

Pongezi hizo zimetolewa leo ambayo ni siku ya Kina Mama (Mother's Day )  ambapo wamekuwa mstari wa mbele katika mapambano.

"WanawakeLakiMoja tunawapongeza kina Mama wote wa Tanzania na duniani kwa ujumla.Kazi kubwa wanazozifanya za...

 

11 years ago

Dewji Blog

Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ

Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya  Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba  ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...

 

9 years ago

Bongo5

Mwanamke ashambuliwa kwa kuzungumza Kiswahili Marekani

woman

Mwanamke aitwaye, Asma Jama ameshambuliwa nchini Marekani kwa kuongea Kiswahili.

woman

Jama alikuwa amekaa na familia yake kwenye mgahawa wa Applebee huko Minnesota, akikata kiu na juice huku mazungumzo yakiendelea kabla ya kujeruhiwa vibaya mdomoni. Mwanamke aliyekuwa amekaa jirani yake alimponda na glasi nzito ya bia mdomoni.

Sababu? Jama alikuwa akizungumza Kiswahili na familia yake.

“Siamini baada ya miaka yote hii mtu ananipiga sababu niko tofauti,” alisema Jama. “Mtu ananipiga kwasababu...

 

10 years ago

TheCitizen

COVER: Kiswahili part of culture

>Dressed in a white shirt and brown trousers  Nasser Khalfan’s face light up with a smile  as he takes to the stage deliver a  speech in Hindi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani