Mwanamke ashambuliwa kwa kuzungumza Kiswahili Marekani
Mwanamke aitwaye, Asma Jama ameshambuliwa nchini Marekani kwa kuongea Kiswahili.
Jama alikuwa amekaa na familia yake kwenye mgahawa wa Applebee huko Minnesota, akikata kiu na juice huku mazungumzo yakiendelea kabla ya kujeruhiwa vibaya mdomoni. Mwanamke aliyekuwa amekaa jirani yake alimponda na glasi nzito ya bia mdomoni.
Sababu? Jama alikuwa akizungumza Kiswahili na familia yake.
“Siamini baada ya miaka yote hii mtu ananipiga sababu niko tofauti,” alisema Jama. “Mtu ananipiga kwasababu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1JjBqDnNiQG5H7IfUrP4TWrNbgIFpuyU8Cm2aXK1hEWa5hcqQPzOS*oOR3aqLm0CM*zdNdRYd92um57ArBtHQ6EDMPupV75Y/BALOZI2.jpg)
BALOZI WA MAREKANI ASHAMBULIWA KWA KISU KOREA KUSINI
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Balozi wa Marekani ashambuliwa
9 years ago
Bongo510 Sep
Video: Rapper mkongwe wa Marekani, LL Cool J awashukuru mashabiki wa Afrika Mashariki kwa Kiswahili
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wq8vFxPk338/VEkRJkT8ATI/AAAAAAAGs-M/QnT7kVYvlSA/s72-c/IMG_9448.jpg)
Dkt. Shein akutana na kuzungumza na Balozi wa Marekani,ikulu Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wq8vFxPk338/VEkRJkT8ATI/AAAAAAAGs-M/QnT7kVYvlSA/s1600/IMG_9448.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fu5HaFitITk/VEkRJpCrkzI/AAAAAAAGs-U/eNk7zbgh0Do/s1600/IMG_9458.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_isQLgaiUrU/VEkRJkSr83I/AAAAAAAGs-Q/TDd1uNHEeDY/s1600/IMG_9469.jpg)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!
Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]
The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Mjumbe ashambuliwa kwa kipigo
![Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Lowassa-na-mgonjwa.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.
Na Esther Mbussi, Dodoma
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgori, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Dodoma, baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.
Tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku, eneo la Area A, ambako watu hao...
10 years ago
Habarileo06 Jan
Ashambuliwa kwa nyaya za umeme, ajeruhiwa
MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.