Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe ashambuliwa kwa kipigo

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.

Na Esther Mbussi, Dodoma

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgori, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Dodoma, baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.

Tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku, eneo la Area A, ambako watu hao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ashambuliwa kwa nyaya za umeme, ajeruhiwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino MlowolaMKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raila Odinga ashambuliwa kwa kiboko

Hali ya taharuki iliibuka katika katika jimbo la Kwale nchini Kenya, baada ya mwanamume mmoja kumchapa Raila Odinga kwa kiboko

 

9 years ago

Mtanzania

Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya

NA PENDO FUNDISHA, MBEYA

MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...

 

9 years ago

Bongo5

Mwanamke ashambuliwa kwa kuzungumza Kiswahili Marekani

woman

Mwanamke aitwaye, Asma Jama ameshambuliwa nchini Marekani kwa kuongea Kiswahili.

woman

Jama alikuwa amekaa na familia yake kwenye mgahawa wa Applebee huko Minnesota, akikata kiu na juice huku mazungumzo yakiendelea kabla ya kujeruhiwa vibaya mdomoni. Mwanamke aliyekuwa amekaa jirani yake alimponda na glasi nzito ya bia mdomoni.

Sababu? Jama alikuwa akizungumza Kiswahili na familia yake.

“Siamini baada ya miaka yote hii mtu ananipiga sababu niko tofauti,” alisema Jama. “Mtu ananipiga kwasababu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge ashambuliwa kwa kuandaa nyama ya ng’ombe

Wabunge wa chama tawala nchini India cha BJP wamempiga mbunge Mwislamu kwa kuandaa nyama ya ng’ombe katika sherehe.

 

11 years ago

Bongo5

Genevieve Nnaji ashambuliwa kwa kuziponda filamu za Nigeria

Muigizaji wa filamu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amelazimika kujitetea baada ya kunukuliwa kwenye mahojiano akiziponda filamu za Nigeria. Kwenye mahojiano hayo, Genevieve ambaye ni miongoni mwa waigizaji wenye fedha zaidi nchini humo alidai kuwa haonekani kwenye filamu mpya kwakuwa hajapata script inayomfaa na kwamba tasnia ya filamu nchini humo haikui. “Ninaziunga mkono filamu ambazo zinazonesha […]

 

10 years ago

Vijimambo

Pinda ashambuliwa, Ni kwa kutumika wanafunzi sherehe za CCM

Wabunge wamemjia juu Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na kitendo cha uongozi wa serikali ya mkoa wa Ruvuma kuwatumia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari katika Manispaa ya Songea, kushiriki maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinyume cha taratibu.

Januari 28, mwaka huu, Ofisa Elimu Sekondari wa Manispaa hiyo, Leo Mapunda, aliwaandikia barua wakuu wa shule za sekondari za wavulana na wasichana Songea, Matogoro, Mashujaa, Matarawe na Mfanyakazi,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkazi wa Ngara ashambuliwa kwa kinyesi akitoka mahakamani

DSC04584

Mkazi  wa Kata ya Ngara mjini wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera, Bw, Philimoni Bunziya akimwelezea mwandishi wa habari hizi jinsi alivyomwagiwa chupa yenye kinyesi na mtuhumiwa wakati akitoka Mahakamani katika maeneo hayo.

DSC04588

Na Daniel Makaka, Ngara

 MKAZI mmoja wa Kata ya Ngara mjini wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera, Bw. Philimoni Bunziya alijikuta akishambuliwa na chupa iliyokuwa na kinyesi karibu na nyumbani kwake alipokuwa akitoka mahakamani.

 Tukio hilo limetokea Machi 28 mwaka huu majira ya...

 

10 years ago

GPL

BALOZI WA MAREKANI ASHAMBULIWA KWA KISU KOREA KUSINI

Muonekano wa Balozi wa Marekani nchini Korea Kusini, Mark Lippert baada ya kuchomwa kisu Mark Lippert (katikati) akiwa anajifuta damu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani