Wasichana wenye vipaji ni hawa tu au kuna zengwe?
Kuna wakati wadau huridhika na mwenendo wa sanaa yetu Tanzania baada ya kuona wasanii wawili watatu, wanaendelea vizuri na kuitangaza nchi. Lakini, siyo vibaya kuangalia upande wa pili wa shilingi katika hili, muda unapopatikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BEN-POL-1.jpg?width=650)
MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Eagles Entertainment Kusaka vipaji mikoani, Wahusika Hawa ndiyo Wanahitajiaka
MWIGIZAJI wa filamu wa kike Yuster Kachara ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Eagles Entertainment ametangaza kuwa kampuni yake inatarajia kusaka vipaji kutoka mikoani zaidi ya mine kwa ajili ya kurekodi tamthilia itayorushwa katika moja ya televisheni kubwa hapa nchini.
“Tunahitaji kupanua wigo wa tasnia ya filamu kwa sasa ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha wasanii kutoka mikoani ambao muda mwingi wamekuwa ni watazamaji tu, hivyo tukiwatumia katika tamthilia ni rahisi kushiriki wengi na...
10 years ago
Bongo502 Mar
Black and White: Huwezi kuamini, wasichana hawa ni mapacha (Picha)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRQVTdxaVjI/XtHp8f44s-I/AAAAAAALsDs/nL46_qbocM0vb8-oEV42CerXJBA6UXpKwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
WENYE VIPAJI VYA UCHORAJI WAJITOKEZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRQVTdxaVjI/XtHp8f44s-I/AAAAAAALsDs/nL46_qbocM0vb8-oEV42CerXJBA6UXpKwCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
NA DENIS MLOWE,IRINGA
VIJANA wenye vipaji vya kuchora mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye mradi mpya wa uchoraji uliopewa jina la The Streets of Iringa Krafts wenye nia kuibua na kuendeleza vipaji vya uchoraji na kuzalisha ajira zaidi.
Wito huo umetolewa na mdau wa maendeleo, Ahmed Salim Abri kwa lengo la kuwawezesha vijana kutumia kipaji cha uchoraji katika kukuza ajira mkoani hapa ikiwa ni sehemu ya moja ya mikakati ya kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ya...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Lollipop: Nasaidia wenye vipaji vya kuimba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MTAYARISHAJI wa muziki anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Bongo Fleva nchini, Goodluck Gozbert maarufu kwa jina la Lollipop, amejitokeza kusaidia wasanii wenye vipaji na uwezo wa kuimba lakini hawana fedha za kurekodia kazi zao.
Lollipop aliyejipatia sifa kupitia wimbo wa ‘Basi Nenda’ wa Mo Music, aliliambia MTANZANIA kwamba, wenye uwezo wapo wengi lakini wanashindwa kurekodi kwa kuwa hawana fedha za kurekodia ndiyo maana amechukua jukumu la kuwasaidia ili aibue...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvRW5Z5zK*fG-G*3yOjWx9CAjLntPUPxmrypGRWyFi4dzXzoXB-F9f1g03Izy20-G8VzQgUrVq9klsjrxubXPTKU/BackAmani.jpg?width=650)
ZENGWE MTOTO WA AUNT APIGWA ZENGWE!
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Ni akina mama au wasichana wenye bidii?
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa mashambulizi!!
January 5 2015 niliisogeza kwako stori ya Wakenya iliyoweka headlines kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo watu wengi walianzisha mjadala wa kuwataka Watanzania wote wafungiwe matumizi ya Instagram kutokana na matumizi mabaya ya baadhi ya Watanzania! Lakini sio Wakenya wote wanakubaliana na #KickTanzaniansOutOfIG. Hizi ni baadhi ya posts za @XtianDela Mkenya aliyeanzisha mjadala wa […]
The post Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa...
9 years ago
StarTV17 Dec
Nafasi Ya Walinda Mlango Juhudi zinahitajika kuwaibua wenye vipaji
Wakati mlinda mlango wa TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo akiingia katika fainali ya kumsaka mchezaji bora wa Africa,Tanzania kupitia kwa makocha wa Academy wanatakiwa kubadili mfumo wa ufundishaji kwa lengo la kupata mlinda mlango mahiri siku za usoni.
Juhudi zimekuwa zikifanyika kuibua vipaji vya wachezaji chipukizi,na sasa imefikia hatua hadi ya kuibua waamuzi Yosso lakini kuna kila sababu ya kuwa na mkakati maalumu wa kupata walinda mlango chipukizi.
Huo ndio umuhimu wa...