WENYE VIPAJI VYA UCHORAJI WAJITOKEZE
NA DENIS MLOWE,IRINGA
VIJANA wenye vipaji vya kuchora mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye mradi mpya wa uchoraji uliopewa jina la The Streets of Iringa Krafts wenye nia kuibua na kuendeleza vipaji vya uchoraji na kuzalisha ajira zaidi.
Wito huo umetolewa na mdau wa maendeleo, Ahmed Salim Abri kwa lengo la kuwawezesha vijana kutumia kipaji cha uchoraji katika kukuza ajira mkoani hapa ikiwa ni sehemu ya moja ya mikakati ya kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Lollipop: Nasaidia wenye vipaji vya kuimba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MTAYARISHAJI wa muziki anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Bongo Fleva nchini, Goodluck Gozbert maarufu kwa jina la Lollipop, amejitokeza kusaidia wasanii wenye vipaji na uwezo wa kuimba lakini hawana fedha za kurekodia kazi zao.
Lollipop aliyejipatia sifa kupitia wimbo wa ‘Basi Nenda’ wa Mo Music, aliliambia MTANZANIA kwamba, wenye uwezo wapo wengi lakini wanashindwa kurekodi kwa kuwa hawana fedha za kurekodia ndiyo maana amechukua jukumu la kuwasaidia ili aibue...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA TAIFA LA HIFADHI YA JAMII LAANZA MCHAKATO WA KUWASAKA WENYE VIPAJI VYA MPIRA WA MIGUU.
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
10 years ago
GPLPOLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME
11 years ago
Mwananchi31 May
Wasichana wenye vipaji ni hawa tu au kuna zengwe?
9 years ago
StarTV17 Dec
Nafasi Ya Walinda Mlango Juhudi zinahitajika kuwaibua wenye vipaji
Wakati mlinda mlango wa TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo akiingia katika fainali ya kumsaka mchezaji bora wa Africa,Tanzania kupitia kwa makocha wa Academy wanatakiwa kubadili mfumo wa ufundishaji kwa lengo la kupata mlinda mlango mahiri siku za usoni.
Juhudi zimekuwa zikifanyika kuibua vipaji vya wachezaji chipukizi,na sasa imefikia hatua hadi ya kuibua waamuzi Yosso lakini kuna kila sababu ya kuwa na mkakati maalumu wa kupata walinda mlango chipukizi.
Huo ndio umuhimu wa...
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
9 years ago
Bongo520 Aug
Mrisho Mpoto aja na ‘Kutoka Shambani’, anatafuta wasanii watatu wenye vipaji