POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME
![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBaFCuu*E43XQ02kxLsxGHU5F7*N9ZhpB4ceT5H1-ungSWJMgHx1Yhski*tuEJGhj13p*rS8EepKIl0Xd9LYBTd/1.jpg)
Ofisa wa polisi akidumisha ulinzi eneo lilipotokea shambulio. Mwanausalama akiwatuliza watu waliohudhuria hafla hiyo baada ya shambulio. Rais wa kundi lililoandaa hafla hiyo la American Freedom Defense Initiative (AFDI), Pamela Geller akiongea na wanahabari.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 May
Vibonzo vya mtume:Wawili wauawa Texas
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Vibonzo vya mtume Uholanzi
9 years ago
MichuziNATHAN MPANGALA ‘KIJASTI’ KUWEKA WAZI MAISHA YAKE YA UCHORAJI VIBONZO KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NaYDu3ECIZ8/VgyyW6v4q7I/AAAAAAAH7-k/ZC6z7eOY4HE/s640/2-October-Hangout-At-Nafasi-Nathan-and--Diana-Swahili.jpg)
MCHORAJI wa vibonzo maarufu nchini Tanzania, Nathan Mpangala, ameandaa mazungumzo ya wazi yatakayofanyika katika Viwanja vya Nafasi Art Space, Mikocheni, Jijini Dar es Salaam, kesho (Ijumaa) ambapo atazungumzia maisha aliyopitia katika vyombo mbalimbali vya habari akiwa kama mchoraji vibonzo.
Ili kunogesha tukio hilo, nao wahudhuriaji watapata nafasi ya kuuliza maswali au kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali...
10 years ago
CloudsFM22 Jan
Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
10 years ago
Vijimambo04 May
Wawili wauawa Texas
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042226_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504071416_texas_640x360_reuters_nocredit.jpg)
POlisi mjini Texas wamewapiga risasi watu wawili kwa kuwashambulia polisi na risasi
Polisi mjini Texas wanasema kuwa wamewapiga risasi na kuwaua watu wawili waliokuwa na silaha, waliowashambulia walinda usalama kwa risasi, walipofika katika eneo la hafla moja yenye utata ya uchoraji wa vibonzo vya kuwakejeli waislamu na mtume Mohammed.
Duru za habari zasema kuwa kisa cha ushambuliaji wa risasi kimefanyika katika sherehe moja, iliyokuwa ikifanyika mjini Dallas, mahala ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRQVTdxaVjI/XtHp8f44s-I/AAAAAAALsDs/nL46_qbocM0vb8-oEV42CerXJBA6UXpKwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
WENYE VIPAJI VYA UCHORAJI WAJITOKEZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRQVTdxaVjI/XtHp8f44s-I/AAAAAAALsDs/nL46_qbocM0vb8-oEV42CerXJBA6UXpKwCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
NA DENIS MLOWE,IRINGA
VIJANA wenye vipaji vya kuchora mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kwenye mradi mpya wa uchoraji uliopewa jina la The Streets of Iringa Krafts wenye nia kuibua na kuendeleza vipaji vya uchoraji na kuzalisha ajira zaidi.
Wito huo umetolewa na mdau wa maendeleo, Ahmed Salim Abri kwa lengo la kuwawezesha vijana kutumia kipaji cha uchoraji katika kukuza ajira mkoani hapa ikiwa ni sehemu ya moja ya mikakati ya kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ya...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...
10 years ago
Habarileo07 May
Waasi waua askari wawili wa JWTZ
WANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.