Wawili wauawa Texas
Polisi mjini Texas
POlisi mjini Texas wamewapiga risasi watu wawili kwa kuwashambulia polisi na risasi
Polisi mjini Texas wanasema kuwa wamewapiga risasi na kuwaua watu wawili waliokuwa na silaha, waliowashambulia walinda usalama kwa risasi, walipofika katika eneo la hafla moja yenye utata ya uchoraji wa vibonzo vya kuwakejeli waislamu na mtume Mohammed.
Duru za habari zasema kuwa kisa cha ushambuliaji wa risasi kimefanyika katika sherehe moja, iliyokuwa ikifanyika mjini Dallas, mahala ambapo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 May
Vibonzo vya mtume:Wawili wauawa Texas
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBaFCuu*E43XQ02kxLsxGHU5F7*N9ZhpB4ceT5H1-ungSWJMgHx1Yhski*tuEJGhj13p*rS8EepKIl0Xd9LYBTd/1.jpg)
POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Waandishi wawili wauawa Afghanistan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAWILI WAUAWA KANISANI KENYA
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafaransa wawili wauawa Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
10 years ago
Habarileo22 Dec
Wawili wauawa kwa kipigo
WATU wawili wameuawa kwa kipigo wilayani Tarime mkoani Mara, akiwemo mwanamke, aitwaye Suzan Bhoke (34), raia wa Kenya aliyekuwa akiishi kimapenzi na Eddy Clement, mkazi wa Kitongoji cha Forodhani katika mji mdogo wa Sirari.