Wawili wauawa kwa kipigo
WATU wawili wameuawa kwa kipigo wilayani Tarime mkoani Mara, akiwemo mwanamke, aitwaye Suzan Bhoke (34), raia wa Kenya aliyekuwa akiishi kimapenzi na Eddy Clement, mkazi wa Kitongoji cha Forodhani katika mji mdogo wa Sirari.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Wavuvi wawili wauawa kwa risasi
WAVUVI wawili wilayani Mlele, Katavi wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa Game Reserve walipokuwa wakivua samaki ndani ya Hifadhi ya Pori la Akiba la Ugala na mwenzao mmoja kujeruhiwa ...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa
Familia ya watu watatu ya mkazi wa Kijiji cha Mwamalulu, Kata ya Nara, wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora, Leticia Thomas (30) na watoto wake wawili, wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkX77ppqUVR7AultVCnUzwWploB3s9Nf1Rw-PNhD1GFhDM*6tJaCB*gvENbVAAEuYHuwYBGHJHKrUgrsv74pHfF/55d07a7ae290f175678eb775e0b5656b.jpg?width=650)
POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI
Taswira za machafuko nchini Burundi wakati wa maandamano ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea tena katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi ya Burundi imetangaza...
10 years ago
Vijimambo04 May
Wawili wauawa Texas
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042226_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504071416_texas_640x360_reuters_nocredit.jpg)
POlisi mjini Texas wamewapiga risasi watu wawili kwa kuwashambulia polisi na risasi
Polisi mjini Texas wanasema kuwa wamewapiga risasi na kuwaua watu wawili waliokuwa na silaha, waliowashambulia walinda usalama kwa risasi, walipofika katika eneo la hafla moja yenye utata ya uchoraji wa vibonzo vya kuwakejeli waislamu na mtume Mohammed.
Duru za habari zasema kuwa kisa cha ushambuliaji wa risasi kimefanyika katika sherehe moja, iliyokuwa ikifanyika mjini Dallas, mahala ambapo...
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Waandishi wawili wauawa Afghanistan
Waandishi wawili wa habari wanawake wa kigeni wameuawa nchini Afghanistan.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAWILI WAUAWA KANISANI KENYA
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Joy Jesus wakiwa nje ya kanisa baada ya shambulio hilo. WATU wawili wameuawa wakati wengine kumi wakijeruhiwa baada ya mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa la Joy Jesus huko Lokoni, karibu na Mombasa nchini Kenya. Maafisa wa polisi katika wilaya ya Likoni iliyopo kusini mwa Mombasa wamesema kuwa jambazi huyo alilivamia kanisa hilo na kuanza kuwafyatulia risasi...
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
Maafisa wawili wa polisi mjini New York Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi walipokuwa ndani ya gari lao eneo la Brooklyn.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania