Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa

Familia ya watu watatu ya mkazi wa Kijiji cha Mwamalulu, Kata ya Nara, wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora, Leticia Thomas (30) na watoto wake wawili, wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.

UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.  Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...

 

11 years ago

Mtanzania

Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town

Arusha Town

Na Eliya Mbonea, Arusha

MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.

Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.

Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...

 

10 years ago

Habarileo

Wawili wauawa kwa kipigo

Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Lazaro MambosasaWATU wawili wameuawa kwa kipigo wilayani Tarime mkoani Mara, akiwemo mwanamke, aitwaye Suzan Bhoke (34), raia wa Kenya aliyekuwa akiishi kimapenzi na Eddy Clement, mkazi wa Kitongoji cha Forodhani katika mji mdogo wa Sirari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi wawili wauawa kwa risasi

WAVUVI wawili wilayani Mlele, Katavi wameuawa  kwa kupigwa  risasi   na askari wa Game Reserve walipokuwa wakivua samaki  ndani ya  Hifadhi  ya Pori la Akiba la Ugala na mwenzao mmoja kujeruhiwa ...

 

10 years ago

GPL

POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI

Taswira za machafuko nchini Burundi wakati wa maandamano ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea tena katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi ya Burundi imetangaza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama akiri kuwaua watoto wake 3

Mama mmoja mjini London amekiri kuwaua watoto wake watatu kwa sababu ya ulemavu wao wa uti wa mgongo nchini Uingereza

 

10 years ago

Mtanzania

Mama aua watoto wake, awafukia ndani ya nyumba

IMG-20150126-WA0001NA THOMAS MURUGWA, TABORA
JESHI la Polisi linawashikilia watu wawili wakazi wa Manispaa ya Tabora kwa tuhuma za kuwanyonga watoto wawili hadi kufa, kisha kuwafukia ndani ya nyumba waliyokuwa wanaishi.
Tukio hilo la kusikitisha linadaiwa kufanyika juzi saa moja jioni katika eneo la Chechem Manispaa ya Tabora walikokuwa wakiishi watuhumiwa wa mauaji hayo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Juma Bwire, amethibitisha jana kutokea kwa mauaji hayo ya kikatili na kuwataja watuhumiwa kuwa ni...

 

10 years ago

CloudsFM

HALI YA AFANDE SELE SI NZURI BAADA YA KUFIWA NA MAMA WA WATOTO WAKE

Msanii wa Bongo Fleva,Afande Sele hali yake imekuwa mbaya baada ya kufiwa na mzazi mwenziye Asha Mohamed’Mama Tunda’.Msanii huyo inawezekana akawa ni moja kati ya watu maarufu hapa nchini ambao wanaongoza kwa kuwataja wenza wao sehemu tofauti tofauti ambapo zaidi ya miaka 10 amesikika akimtaja wa ubavu wake, mara kwa mara hiyo ni wakati wakiwa wanaishi pamoja na mama tunda ambaye ni mzazi mwenzake waliyezaa nae watoto wawili, wa kwanza ni Tunda pamoja na Asante Sanaa. Mama Tunda amefariki...

 

9 years ago

Mwananchi

Mama na mwanawe wauawa kwa mapanga

Mkazi wa Kijiji cha Saragulwa, Kata ya Nyamwilolela mkoani hapa na mwanaye wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu ambao hawajajulikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani