POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI
![](http://api.ning.com:80/files/lgc1mBk2ypkX77ppqUVR7AultVCnUzwWploB3s9Nf1Rw-PNhD1GFhDM*6tJaCB*gvENbVAAEuYHuwYBGHJHKrUgrsv74pHfF/55d07a7ae290f175678eb775e0b5656b.jpg?width=650)
Taswira za machafuko nchini Burundi wakati wa maandamano ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea tena katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi ya Burundi imetangaza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Polisi wawili wauawa nchini Misri
10 years ago
StarTV29 Jun
Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/18/150518160556_burundi_640x360__nocredit.jpg)
Burundi
Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.
Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.
Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.
Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.
Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
10 years ago
Habarileo22 Dec
Wawili wauawa kwa kipigo
WATU wawili wameuawa kwa kipigo wilayani Tarime mkoani Mara, akiwemo mwanamke, aitwaye Suzan Bhoke (34), raia wa Kenya aliyekuwa akiishi kimapenzi na Eddy Clement, mkazi wa Kitongoji cha Forodhani katika mji mdogo wa Sirari.
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Wavuvi wawili wauawa kwa risasi
WAVUVI wawili wilayani Mlele, Katavi wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa Game Reserve walipokuwa wakivua samaki ndani ya Hifadhi ya Pori la Akiba la Ugala na mwenzao mmoja kujeruhiwa ...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mama, watoto wake wawili wauawa kwa kuchinjwa
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi