Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu wawili wauawa Bujumbura

Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI

Taswira za machafuko nchini Burundi wakati wa maandamano ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea tena katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi wawili wameuawa katika machafuko yanayoendelea nchini Burundi katika mwendelezo wa maandamano ya wapinzani ya kupinga hatua ya Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza ya kuamua kugombea katika uchaguzi mkuu ujao nchini humo. Polisi ya Burundi imetangaza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Mandera

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa na mshambuliaji Tel Aviv

Watu wawili wamefariki na wengine watano kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kufyatulia watu risasi kwenye baa moja mjini Tel Aviv.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa ndani ya kanisa kenya

Watu wawili wameuawa baada ya mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa mjini Mombasa nchini kenya.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 34 yapatikana Bujumbura

Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 4 wameuawa usiku wa jana Bujumbura

Polisi wamesema watu wanne wameuawa usiku wa jana katika mashambulio yaliyotokea maeneo tofauti ya mji mkuu wa Bujumbura Burundi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani