Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.
Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.
Ilikuwa majira ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Watu wawili wauawa Bujumbura
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Watu wawili wauawa na mshambuliaji Tel Aviv
11 years ago
BBCSwahili23 Mar
Watu wawili wauawa ndani ya kanisa kenya
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Watu 10 wauawa Kiteto, Mtwara jambazi laua polisi
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Waliodhurika kwa togwa Songea sasa wafikia watu 340
10 years ago
CloudsFM30 Sep
WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU
Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.
Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...