Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu wawili wauawa na mshambuliaji Tel Aviv

Watu wawili wamefariki na wengine watano kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kufyatulia watu risasi kwenye baa moja mjini Tel Aviv.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Ethiopian Jews protest in Tel Aviv

Hundreds of Ethiopian Jews protest against police brutality and racism in the Israeli city of Tel Aviv, leading to violent clashes.

 

11 years ago

TheCitizen

Dar-Tel Aviv direct flights coming

A local tourism firm and an Israel-based travel firm have signed an air aviation agreement which provides for the kick-starting direct flights between Kilimanjaro and Tel Aviv.

 

11 years ago

TheCitizen

Tel Aviv counts cost of rocket attacks

Israel’s commercial capital is under rocket fire from Palestinian militants in Gaza, its normally nonchalant residents using black humour to disguise the anguish of another open war with Hamas.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Mandera

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Bujumbura

Watu wawili wameuawa katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kufuatia makabiliano makali ya risasi Jumanne Usiku

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa ndani ya kanisa kenya

Watu wawili wameuawa baada ya mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki kuwafyatulia risasi ndani ya kanisa mjini Mombasa nchini kenya.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani