Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 10 wauawa Kiteto, Mtwara jambazi laua polisi

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi, wilayani Kiteto mkoani Manyara, imefikia 10.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Gari laua watu 3 Mtwara

WATU watatu wamekufa na 12 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi la mbele na kuacha njia na kugonga mti.

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI

Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wauawa katika mapambano ya kurushiana risasi na polisi wilaya ya Momba. 
Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.

Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba. 
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...

 

11 years ago

GPL

JAMBAZI LINALOUA WATU LAFUNGIWA KAZI

Stori: Mwandishi Wetu, TARIME
LILE jambazi linaloua watu wasio na hatia Tarime, Mara lipo katika wakati mgumu kufuatia wananchi wa wilayani humo kumfungia kazi kwa kumsaka licha ya Jeshi la Polisi Tanzania, Makao Makuu kutuma askari wake kwa ajili ya kumsaka. Kwa mujibu wa chanzo chetu Tarime, wananchi wamesema wamechoka kuona mdunguaji huyo anaendelea kutamba kwa kutoa roho za watu kama ninja. “Wananchi wengi hapa Tarime...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Tarime yaua jambazi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, Mkoa wa Mara, limemuua kwa kumpiga risasi jambazi mmoja na wengine watatu kunusurika katika tukio la kurushiana risasi katika Kitongoji cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jambazi la uawa na Jeshi la Polisi Mkoani Singida!

RPC

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari Mkoani humo. (Picha ya Maktaba yetu). Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Jeshi la Polisi Mkoani Singida, limefanikiwa kumuawa Dotto William anayekadiriwa kuwa na umri kati ya 30 na 33 mkazi wa Kibaoni kata ya Kindai tarafa ya Unyaminkumbi mjini Singida anayesadikika kuwa ni jambazi sugu,wakati wa kupukushani za kumnyang’anya askari silaha.    Mtuhumiwa huyo ujambazi na  kinara  wa matukio ya...

 

5 years ago

Michuzi

POLISI DAR WAUA JAMBAZI SUGU MWENYE UMRI WA MIAKA 20

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa
 
Na  Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKAZI wa Mbagala jijini Dar es Salaam Ramadhan Rashid maarufu kwa jina la Asney Mjeuri anayetuhumiwa kwa ujambazi sugu ameuawa wakati akitaka kuwakimbia askari Polisi.
Akizungumza leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema kuwa mtuhumiwa huyo wa ujambazi sugu alikamatwa Februari 24 ,2020 saa saba usiku maeneo ya Sabasaba Mbagala Kizuiani...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi aliyenusurika Sitakishari asimulia alivyoua jambazi akiwa majeruhi wa risasi

>Ni ukweli usiopingika kwamba siku ya kuzaliwa na kufa ya kila binadamu anaijua Mungu. Akaiamua kukuita kwake, huwezi kupinga kifo kwa namna yoyote.

 

9 years ago

StarTV

Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:

 

Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.

Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4

Katika kikao na waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani