Polisi Singida yamshikia kijana mmoja anayetuhumiwaa kuwa jambazi sugu:
Polisi mkoani Singida imefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyekuwa anatafutwa muda mrefu kwa tuhuma za ujambazi sugu, baada ya kumjeruhi kwa mpiga risasi wakati akijaribu kutoroka.
Mtuhumiwa huyo Idi Issa mwenye miaka 33 mkazi wa Kibaoni Mjini Singida amekamatwa usiku wa kuamkia jana katika baa ya Leaders akihusishwa na matukio mbalimbali ya ujambazi wa silaha, moja likiwa ni kuvunja nyumba na kuwaibia raia wa China fedha taslimu shilingi milioni 17.4
Katika kikao na waandishi wa habari...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Jeshi la Polisi mkoani Singida lamshikilia mtu anayedhaniwa kuwa jambazi sugu
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
Jeshi la polisi mkoani Singida,limefanikiwa kukamata mkulima na mkazi wa Kibaoni Iddy Issah (33), anayedhaniwa kuwa ni jambazi sugu baada ya kulipiga risasi moja mguu wake wa kulia, wakati alipojaribu kutoroka.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Singida, ACP Simon Haule,alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari tatu mwaka huu saa 7.20 usiku katika baa ya Leaders iliyopo kata ya Kindai tarafa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pkAizUyp4G0/XlUR9VmfLXI/AAAAAAALfRY/N6BCykH_BRYxIpDduBG9Q8NPOeWEU9aHgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
POLISI DAR WAUA JAMBAZI SUGU MWENYE UMRI WA MIAKA 20
![](https://1.bp.blogspot.com/-pkAizUyp4G0/XlUR9VmfLXI/AAAAAAALfRY/N6BCykH_BRYxIpDduBG9Q8NPOeWEU9aHgCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKAZI wa Mbagala jijini Dar es Salaam Ramadhan Rashid maarufu kwa jina la Asney Mjeuri anayetuhumiwa kwa ujambazi sugu ameuawa wakati akitaka kuwakimbia askari Polisi.
Akizungumza leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema kuwa mtuhumiwa huyo wa ujambazi sugu alikamatwa Februari 24 ,2020 saa saba usiku maeneo ya Sabasaba Mbagala Kizuiani...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s72-c/IMG_20141010_094833.jpg)
JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKIUWA WANAWAKE ARUSHA LAUWAWA NA POLISI WANANCHI WASHANGILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OqGceKfwNoM/VDevFHpm2DI/AAAAAAAANkg/W0DgT_gnaLk/s1600/IMG_20141010_094201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mr1YinXpiLo/VDexG8WsL7I/AAAAAAAANlg/vORTdT1lcoE/s1600/IMG_20141010_094844.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JAqo2wO4BU/VDexQwl_XsI/AAAAAAAANlw/vV0qiZTwkrc/s1600/IMG_20141010_095013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R64RCccMzIk/VDexjFuHu8I/AAAAAAAANmY/X7y8_ntQyms/s1600/IMG_20141010_100045.jpg)
...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Jambazi la uawa na Jeshi la Polisi Mkoani Singida!
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Jambazi sugu asakwa Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlTsiKUCun9Pm5fry25EKD*AB6N-3b3DN-S4WBcFtQ2CIK1IA8dEaHVxTyI07o419fWDahD1MdfJIGLl5*i3TCG*/IMG20141011WA0014.jpg?width=650)
JAMBAZI SUGU LAUAWA ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ub3422nJ5QU/VDeurdbiXEI/AAAAAAAANjw/ovIjeM3nbmM/s72-c/IMG_20141010_094011.jpg)
JAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKUWA WANAWAKE LAUAWA ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ub3422nJ5QU/VDeurdbiXEI/AAAAAAAANjw/ovIjeM3nbmM/s640/IMG_20141010_094011.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-F6GdscDBLeQ/VDeuziBARAI/AAAAAAAANkA/TkevNYDKyBU/s640/IMG_20141010_094033.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OqGceKfwNoM/VDevFHpm2DI/AAAAAAAANkg/W0DgT_gnaLk/s640/IMG_20141010_094201.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VZAkDBNjNyI/VDevQqfKSxI/AAAAAAAANko/3_LwE3IwctY/s640/IMG_20141010_094208.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mr1YinXpiLo/VDexG8WsL7I/AAAAAAAANlg/vORTdT1lcoE/s640/IMG_20141010_094844.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JAqo2wO4BU/VDexQwl_XsI/AAAAAAAANlw/vV0qiZTwkrc/s640/IMG_20141010_095013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R64RCccMzIk/VDexjFuHu8I/AAAAAAAANmY/X7y8_ntQyms/s640/IMG_20141010_100045.jpg)
10 years ago
Habarileo18 Jan
Kanda ya Ziwa wanasa jambazi sugu, SMG, risasi 331
POLISI wa mikoa ya Mwanza, Simiyu na Shinyanga wamefanikiwa kusambatarisha mtandao wa ujambazi kwenye mikoa hiyo baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi sugu, Njile Samweli (46) mkazi wa kijiji cha Lyoma, Bariadi mkoani Simiyu aliyekuwa akitafutwa kwa muda mrefu.
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOANI MBEYA LAKAMATA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI, WAKAMATA WAHARIFU SUGU
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa usalama ali inayopelekea kupata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kupungua kwa matukio makubwa ya uhalifu pamoja na ajali za barabarani.
KUPATIKANA NA MALI ZIDHANIWAZO KUWA ZA WIZI. Jeshi la...