Kanda ya Ziwa wanasa jambazi sugu, SMG, risasi 331
POLISI wa mikoa ya Mwanza, Simiyu na Shinyanga wamefanikiwa kusambatarisha mtandao wa ujambazi kwenye mikoa hiyo baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi sugu, Njile Samweli (46) mkazi wa kijiji cha Lyoma, Bariadi mkoani Simiyu aliyekuwa akitafutwa kwa muda mrefu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper25 Jun
Wanafunzi waua jambazi lenye SMG
Yalipora mamilioni na kuua mfanyabiashara Mengine mawili yanaswa Moshi na silaha kali
NA MARCO KANANI, GEITA
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Nyang’wale mkoani Geita, wamefanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi akiwa na SMG, kwa kumshambulia na mawe.
Mtuhumiwa huyo na mwenzake, wakiwa na silaha ya aina ya SMG, juzi walizua taharuki kubwa baada ya kuvamia maduka mawili na kupora kiasi cha fedha ambacho hakijajulikana na kisha kumuua mfanyabiashara kwa risasi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Mkulima anaswa na risasi 271 za SMG
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida linamshikilia mkulima na mkazi wa Matele-Kasulu mkoani Kigoma,Discon Bavumbi Masombo Kiyungu (45) kwa tuhuma ya kumiliki risasi 271 za bunduki ya kijeshi aina ya SMG kinyume na sheria.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari 18 mwaka...
10 years ago
GPLJAMBAZI SUGU LAUAWA ARUSHA
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Jambazi sugu asakwa Tanzania
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE
HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.
Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.
Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Jambazi apigwa risasi na wenzake
MTU mmoja anayeshukiwa kuwa ni jambazi sugu, Benard Aaron (47) ‘Chinga’ amefariki dunia kwa kupigwa risasi na majambazi wenzake. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana majira ya saa 8:00...
10 years ago
VijimamboJAMBAZI SUGU LILILOKUA LIKUWA WANAWAKE LAUAWA ARUSHA
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Jambazi auawa katika majibishano ya risasi
MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi sugu maarufu kama Ramadhani Jumanne ‘Rama Ndonga’ (37) ameuawa katika majibizano ya risasi kati yake na polisi yaliyotokea usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha...
10 years ago
Mtanzania14 May
Mmoja apigwa risasi na jambazi Dar
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAM
MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika amepigwa risasi mbili na kuporwa fedha na mtu mmoja anayedhaniwa kuwa ni jambazi katika eneo la Kijiweni Karibu na Baa ya Delux, Sinza, Dar es Salaam.
Tukio hilo lilitokea jana ambako MTANZANIA lilifika na kuelezwa na mashuhuda wa tukio hilo waliodai lilikuwa la kushtukiza na lilitokea saa 6.00 mchana.
Akisimulia tukio hilo dereva aliyekuwa akiendesha gari lililoshambuliwa namba T 236 DDT aliyefahamika kwa jina moja la...