Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkulima anaswa na risasi 271 za SMG

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida linamshikilia mkulima na mkazi wa Matele-Kasulu mkoani Kigoma,Discon Bavumbi Masombo Kiyungu (45) kwa tuhuma ya kumiliki risasi 271 za bunduki ya kijeshi aina ya SMG kinyume na sheria.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari 18 mwaka...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Mkulima wa bangi anaswa

Mtuhumiwa kilian Fussi akiangalia kwa uchungu wakati   askari polisi wakiteketeza shamba lake la bangiMtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi na pingu mkononi wakati askari aking’oa bangi hizo shambani.

Stori: Stephano Mango, SONGEA

KIBANO! Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limemnasa mkulima mmoja, Kiliani Fussi (pichani) kwa tuhuma za kulima bangi kwa kificho kwenye shamba lake maalum huku akijua ni kosa kisheria, twende na Risasi Jumamosi.

katikati rco ruvuma Revacutus Malimi, kulia Rpc Ruvuma   Mihayo Mskhela wakionyeshana bangi ilivyostawiPolisi wakijadiliana jambo

Zoezi hilo lilifanyika hivi karibuni ambapo mkulima huyo alishtukizwa na askari akiwa kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa nusu eka ambalo...

 

10 years ago

Mtanzania

Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa

IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu

NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE

HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.

Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.

Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...

 

10 years ago

Habarileo

Kanda ya Ziwa wanasa jambazi sugu, SMG, risasi 331

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino MlowolaPOLISI wa mikoa ya Mwanza, Simiyu na Shinyanga wamefanikiwa kusambatarisha mtandao wa ujambazi kwenye mikoa hiyo baada ya kukamatwa kwa mtuhumiwa wa ujambazi sugu, Njile Samweli (46) mkazi wa kijiji cha Lyoma, Bariadi mkoani Simiyu aliyekuwa akitafutwa kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WAKAMATA BUNDUKI SMG, RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR.

 Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya uhalifu ikiwa ni pamoja na unyang’anyi wa kutumia silaha. Watuhumiwa wamekamakwa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam kufuatia oparesheni kali inayoendelea ya kuwasaka wahalifu wa makosa mbalimbali.
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS  maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa  HEMED S/O...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA: POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59 PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya uhalifu ikiwa ni pamoja na unyang’anyi wa kutumia silaha. Watuhumiwa wamekamakwa katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam kufuatia oparesheni kali inayoendelea ya kuwasaka wahalifu wa makosa mbalimbali.
Katika tukio la kwanza mnamo tarehe 03/06/2015 majira saa 08:00HRS  maeneo ya Tabata Kinyerezi mtaa wa Kibaga askari wa kikosi kazi (TASK FORCE) walimkamata mtuhumiwa  HEMED S/O...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WAKAMATA BUNDUKI AINA YA SMG NA JUMLA YA RISASI 59,PEMBE ZA NDOVU PAMOJA NA WATUHUMIWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI JIJINI DAR


Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro Sirro akiwaonesha baahdhi ya waandishi wa habali hawapo pichani pembe za Ndovu zilizo kamatwa maeneo ya Kimara Suka katika oparesheni ukaguzi wa magari.Picha na Emmanuel Massaka.
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP), Simon Sirro akiwaonesha baadhi ya waandishi wa habari (hawapo pichan) Bunduki aina ya (SMG) iliyofutwa namba zake ikiwa na risasi 10.
Naibu Kamishna wa Jeshi la...

 

10 years ago

Mwananchi

Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane

Hofu imewakumba waumini wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Stephano, Kisarawe mkoani Pwani katika ibada ya Ijumaa Kuu baada mtu mmoja kukamatwa katikati ya ibada ya Ijumaa Kuu akiwa na bastola yenye risasi nane.

 

10 years ago

Assistance

Moshi Deaf Children Get 271 Million/


Moshi Deaf Children Get 271 Million/ - Assistance
AllAfrica.com
Moshi — A TOTAL of 238 deaf children have been buoyed up by efforts of a local Non Governmental organisation (NGO), Childreach Tanzania that has committed 271m/- for a three-year Deaf Education and Development Programme (DEDP). Presenting a ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yawazawadia waliokamata SMG

JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limetoa zawadi kwa wananchi pamoja na Sungungu katika kata za Segese na Lunguya, wilayani Kahama baada ya kufanikisha kukamatwa kwa watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani