Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkulima wa bangi anaswa

Mtuhumiwa kilian Fussi akiangalia kwa uchungu wakati   askari polisi wakiteketeza shamba lake la bangiMtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi na pingu mkononi wakati askari aking’oa bangi hizo shambani.

Stori: Stephano Mango, SONGEA

KIBANO! Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limemnasa mkulima mmoja, Kiliani Fussi (pichani) kwa tuhuma za kulima bangi kwa kificho kwenye shamba lake maalum huku akijua ni kosa kisheria, twende na Risasi Jumamosi.

katikati rco ruvuma Revacutus Malimi, kulia Rpc Ruvuma   Mihayo Mskhela wakionyeshana bangi ilivyostawiPolisi wakijadiliana jambo

Zoezi hilo lilifanyika hivi karibuni ambapo mkulima huyo alishtukizwa na askari akiwa kwenye shamba hilo lenye ukubwa wa nusu eka ambalo...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti atupwa jela kwa kulinda mkulima wa bangi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Mwenyekiti wa Kijiji cha Mbende, Alei Charles (Chadema) kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kumlinda mshtakiwa Wenceslaus Namwanda “Pepea” anayemiliki shamba la bangi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkulima anaswa na risasi 271 za SMG

DSC03164

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la polisi mkoa wa Singida linamshikilia mkulima na mkazi wa Matele-Kasulu mkoani Kigoma,Discon Bavumbi Masombo Kiyungu (45) kwa tuhuma ya kumiliki risasi 271 za bunduki ya kijeshi aina ya SMG kinyume na sheria.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, alisema mtuhumiwa huyo amekamatwa Januari 18 mwaka...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA JACK CHAN ANASWA NA BANGI

Watuhumiwa Jaycee Chan (kushoto) and Kai Ko (kulia). Staa wa filamu wa siku nyingi, Jackie Chan. MTOTO wa staa wa filamu wa Hollywood, Jackie Chan aitwaye Jaycee Chan…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti ya kilimo itamkomboa mkulima?

PAMOJA na mafanikio yaliyopatikana kutokana na bajeti ya 2013/2014 yanayotajwa kwenye hotuba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika ya mwaka 2014/2015 bado kuna mengi ya kuhoji juu ya bajeti...

 

10 years ago

Habarileo

Mkulima anogesha mbio za urais

MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu.MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.

 

10 years ago

Habarileo

Mkulima 'baba’ wa familia ya watu 92

LICHA ya kutegemewa na familia kubwa ya watu 92, mkulima bora wa Wilaya ya Mlele, Katindi Mayogala (80), ametamba kuwa, ana akiba ya chakula inayoweza kuitosheleza familia yake kwa miaka mitatu mfululizo. Mayogola anayetajwa kuwa ni rafiki mkubwa wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ana wake wanne, watoto 42 wa kuwazaa, wajukuu na vitukuu wanaofikia 50, wote wakiishi katika kijiji eneo la Tupido, Kata ya Mbede alikoweka makazi yake yenye umaarufu mkubwa kwa jina la `Katindi Kilimo Kwanza Group’,...

 

9 years ago

Habarileo

Mkulima, ng’ombe 71 wauawa Morogoro

MKULIMA mmoja ameuawa kwa kuchomwa na mkuki na zaidi ya ng’ombe 71 wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakati wa mapigano ya wakulima na wafugaji, yaliyotokea katika Kijiji cha Dihinda katika Kata ya Kanga Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Tanzania Daima

TATU JUMA: Mkulima mfano wa kuigwa

LEO nawaletea Tatu Juma kutoka Lushoto Tanga. Huyu ni mwanamama wa miaka 49; alishika nafasi ya tatu katika shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2012. Ni mkulima na mfugaji. Ana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani