Mkulima anogesha mbio za urais
MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Jun
Mkulima msaka urais atua Moro
MKULIMA wa Kigoma anayewania kupitishwa na CCM agombee urais kwa chama hicho, Idelphonce Bilole, ametua mkoani Morogoro akiendelea kutafuta wadhamini katika mikoa 15 nchini, huku akisisitiza elimu si kigezo cha yeye kushindwa kuwania nafasi hiyo ya juu.
10 years ago
Habarileo10 Jun
Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM
KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo02 Jun
MBIO ZA URAIS
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737084/medRes/1025026/-/h/240/w/150/-/yh53ybz/-/makongoro.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737124/medRes/1025048/-/h/240/w/150/-/6vmprq/-/kati.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737128/medRes/1025031/-/h/240/w/150/-/jv1l90z/-/mwandosya.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...
10 years ago
Mtanzania25 May
Mbio urais CCM
Khamis Mkotya na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE mbio za urais, ubunge, udiwani na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeanza rasmi, baada ya chama hicho kutangaza ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu.
Ratiba hiyo inaonyesha fomu za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar zitaanza kutolewa Juni 3 na kurejeshwa Julai 2, mwaka huu, saa kumi jioni.
Kuhusu nafasi ya ubunge, udiwani na uwakilishi, wagombea wa nafasi hiyo wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Julai 15...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Pinda: Nimeanza mbio za urais
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amefanya kile alichokifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, kwa kutangaza nia ya kuwania urais mwaka 2015, akiwa jijini London nchini Uingereza. Pinda...
9 years ago
StarTV21 Aug
Mbio za urais visiwani Zanzibar
![hamad](http://mzalendo.net/wp-content/uploads/2014/08/hamad-564x272.jpg)
Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchguzi...
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Walker ajitoa mbio za urais Marekani