Walker ajitoa mbio za urais Marekani
Scott Walker, ambaye ni miongoni mwa wagombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani amejiondoa kutoka kwenye kinyanganyiro hicho.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x5nfMUvOqsg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo02 Jun
MBIO ZA URAIS
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737084/medRes/1025026/-/h/240/w/150/-/yh53ybz/-/makongoro.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737124/medRes/1025048/-/h/240/w/150/-/6vmprq/-/kati.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2737128/medRes/1025031/-/h/240/w/150/-/jv1l90z/-/mwandosya.jpg)
10 years ago
Mtanzania25 May
Mbio urais CCM
Khamis Mkotya na Debora Sanja, Dodoma
HATIMAYE mbio za urais, ubunge, udiwani na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeanza rasmi, baada ya chama hicho kutangaza ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu.
Ratiba hiyo inaonyesha fomu za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar zitaanza kutolewa Juni 3 na kurejeshwa Julai 2, mwaka huu, saa kumi jioni.
Kuhusu nafasi ya ubunge, udiwani na uwakilishi, wagombea wa nafasi hiyo wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Julai 15...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s72-c/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015
Ngeleja naye afunguka
NA PETER KATULANDA, MWANZA
WAKATI vijana wakiendelea kupigiwa upatu katika harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu mwakani, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, ameibuka na kuweka mambo hadharani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sFjscooS0U0/U8VSq6u2WdI/AAAAAAAABXs/Scit0iQHlI0/s1600/Willian+Ngelejaxxx.jpg)
Ngeleja, ambaye amewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini na miongoni mwa wanasiasa vijana wanaotajwa kuwa wanatosha kwenye nafasi hiyo, amesema ni mapenzi ya Mungu ndiyo yatamwongoza kuwania nafasi hiyo au kuendelea na ubunge.
“Kwa sasa naendelea kutii maagizo ya...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Pinda: Nimeanza mbio za urais
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amefanya kile alichokifanya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, kwa kutangaza nia ya kuwania urais mwaka 2015, akiwa jijini London nchini Uingereza. Pinda...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Mkulima anogesha mbio za urais
MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
9 years ago
StarTV21 Aug
Mbio za urais visiwani Zanzibar
![hamad](http://mzalendo.net/wp-content/uploads/2014/08/hamad-564x272.jpg)
Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchguzi...
11 years ago
BBCSwahili04 Aug
Kobe mwenda mbio akamatwa Marekani
10 years ago
Mtanzania10 Nov
Mbio za urais 2015 zaipasua UVCCM
![Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/Sadifa-Juma-Khamis1.jpg)
Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis
NA MWANDISHI WETU, Dodoma
MAKUNDI ya urais yanadaiwa kuugawa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), ambapo imeelezwa kuwa baraza kuu la umoja huo, limegoma kupitisha jina la Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuwa Naibu Kamanda wa umoja huo upande wa Tanzania Bara.
Hayo yamejitokeza katika vikao vya baraza kuu la umoja huo ambalo lilikuwa na vikao vyake mjini hapa kuanzia Novemba 7, 2014 na kuhitimishwa jana.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...