Mbio za urais visiwani Zanzibar
JOTO la kuwania urais wa Zanzibar limezidi kupanda huku mgombe wa nafasi hiyo kupitia Chama cha ADC, Hamad Rashid Mohamesd akijitosa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Hamad ametamba kuwa anatarajia kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na kuanzisha shirika jipya la ndege la Zanzibar iwapo wananchi watampigia kura kuwa Rais mpya katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Hamad alitoa msimamo huo jana mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania urais na Mwenyekiti wa Tume ya Uchguzi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema yavuta kasi mbio za urais Zanzibar
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Karibu Zanzibar Fashion Festival 2015 ilivyofana Visiwani Zanzibar
Mmoja wa waanzilishi wa Karibu Zanzibar Fashion, Joseph Alban (mwenye suti nyeusi) akiongea machache kwa niaba ya wenzake wakati wa kuhitimisha tukio hilo usiku wa jana…(Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog.com)
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Zanzibar) Usiku wa Julai 20 ulikuwa ni wa kipekee kwa viunga vya Unguja Kisiwani Zanzibar kutokana na tukio moja tu la kipekee la onesho la mavazi lijulikanalo kama KARIBU ZANZIBAR FASHION FESTIVAL 2015 lililoteka umati wa wadau wa fani hiyo na...
10 years ago
Vijimambo26 Jan
DR SHEIN KUGOMBEA KWA MARA NYINGINE URAIS VISIWANI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2602978/highRes/930843/-/maxw/600/-/3frsynz/-/shein.jpg)
Tamko hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi katika Kongamano lililofanyika Ukumbi wa Shule ya...
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Dk Shein apendekezwa kupeperusha bendera ya CCM Urais visiwani
10 years ago
Mwananchi09 Aug
FORODHANI : Fukwe ya mapochopocho visiwani Zanzibar
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Kikwete asaka suluhu visiwani Zanzibar
10 years ago
GPLSIMBA SC WALIVYOSHEREHEKEA UBINGWA WA MAPINDUZI VISIWANI ZANZIBAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhc2JjTTqcjZN7CBOWOTsO2Gi506-18pyG3cMnvdaBUk-fxfb-i7PrZBtiXBJFlqjKf2YU9WMVCwivHFH7Sc3myr/ZARINADIAMOND4.jpg)
TASWIRA ZA ZARI NA DIAMOND WALIVYOJIACHIA VISIWANI ZANZIBAR
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Fella, Baby J kusaka vipaji visiwani Zanzibar
NA MELCKZEDECK SIMON
MKURUGENZI wa Kundi la Mkubwa na Wanawe na Diwani wa Kata ya Kilungule, Said Fella, ameelekeza nguvu zake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kusaka vipaji vya wasanii wenye uwezo wa kuimba na kucheza lakini wanakosa sehemu ya kuonyesha vipaji vyao.
Katika msako huo wa wasanii, Fella ameongozana na wasanii wawili waliojiunga na kundi lake ambao wana asili ya Zanzibar, Berry Black na mwanadada Baby J, ambao watatumika kama majaji katika kazi hiyo.
“Nashukuru nimepata mapokezi...