Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fella, Baby J kusaka vipaji visiwani Zanzibar

10735529_787253024649300_80706706_nNA MELCKZEDECK SIMON

MKURUGENZI wa Kundi la Mkubwa na Wanawe na Diwani wa Kata ya Kilungule, Said Fella, ameelekeza nguvu zake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kusaka vipaji vya wasanii wenye uwezo wa kuimba na kucheza lakini wanakosa sehemu ya kuonyesha vipaji vyao.

Katika msako huo wa wasanii, Fella ameongozana na wasanii wawili waliojiunga na kundi lake ambao wana asili ya Zanzibar, Berry Black na mwanadada Baby J, ambao watatumika kama majaji katika kazi hiyo.

“Nashukuru nimepata mapokezi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Said Fella amvuta Baby J Mkubwa na Wanawe

Said Fella ameamua kumchukua msanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J kwenye himaya yake ya Mkubwa na Wanawe. Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale ambaye amekuwa akifanya kazi kwa kushirikiana na Fella ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram. “Nipo na mkali wa kike pekee aliyebaki znz kwa kuona ujuzi wake mkubwa na wanawe imemchukua ili kulinda […]

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella anawapoteza Baby J na Berry Black – AT

AT

Msanii wa muziki wa mduara AT, amezikandia jitihada za mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe Said Fella za kuwachukua na kuwasimamia wasanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J na Berry Black kwa madai amechukua ili kuwapotezea muda.

AT

AT ambaye ameonesha dhahiri kutofurahishwa na mfumo wa muziki hapa Tanzania ambao kwa upande wake anaona unabana wasanii wa muziki kutoka Zanzibar, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa ni kuwanyonya na si kuwasaidia.

“Mtu anawachukua wasanii wa...

 

11 years ago

GPL

PROINS KUSAKA VIPAJI MIKONI

Afisa masoko wa kampuni hiyo, Bw. Evans Steven akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni hiyo. Kulia ni jaji wa mashindano hayo, Single Mtambalike ‘Richie’ na msemaji mkuu, Joshua Moshi. Richie akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).…

 

9 years ago

Bongo5

Baby Jay aeleza matarajio yake akiwa chini ya uongozi mpya wa Fella na Tale

11910514_1643281142605929_1772135023_n

Mwimbaji mahiri, Baby Jay amesema ana matarajio ya kupiga hatua katika muziki wake baada uongozi mpya wa Mkubwa Fella pamoja na Babu Tale kumchukua na kusimamia kazi zake za muziki.
11910514_1643281142605929_1772135023_n

Baby Jay ameiambia Bongo5 kuwa, ilikuwa ni ndoto yake ya muda mrefu kufanya kazi na uongozi mkubwa ambao utaweza kupeleka mbele muziki wake.

“Kwanza kuja kwa Tale na Fella ni wakati sahihi kwangu. Niwakati ambao nilikuwa naitaji watu ambao nitafanyanao kazi ya uhakika, wamekuja wakati ambao nimekuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miss Dar Indian Ocean kusaka vipaji leo

WAREMBO wa Miss Dar Indian Ocean 2014 wanatarajiwa kuchuana kumsaka mwenye kipaji leo usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya Chichi, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI LA TMT JIJINI DAR LAZIDI KUNOGA

Baadhi ya washiriki wa shindano la (TMT)wakijadili Script waliyopewa .
Baadhi ya wahudumu wa shindano wakiwa katika meza wakati wa usaili unaoendelea.
Jaji wa shindano hilo la TMT, Haji Salum 'Mboto' akifanya mahojiano na mshiriki wa shindano baada ya kutoka katika chumba maalum cha usaili hatua ya pili.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani