Said Fella amvuta Baby J Mkubwa na Wanawe
Said Fella ameamua kumchukua msanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J kwenye himaya yake ya Mkubwa na Wanawe. Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale ambaye amekuwa akifanya kazi kwa kushirikiana na Fella ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram. “Nipo na mkali wa kike pekee aliyebaki znz kwa kuona ujuzi wake mkubwa na wanawe imemchukua ili kulinda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A7j6gcdY98s/Ve34INcjIuI/AAAAAAAAxOo/ReLT-uhGhVY/s72-c/IMG_6381.jpg)
MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-A7j6gcdY98s/Ve34INcjIuI/AAAAAAAAxOo/ReLT-uhGhVY/s640/IMG_6381.jpg)
9 years ago
Bongo529 Dec
Fella atambulisha kundi jipya kutoka Mkubwa na Wanawe, ni SALAMU TMK
![fella3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/fella3-300x194.jpg)
Meneja mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Said Fella kabla mwaka 2015 haujaisha ametambulisha kundi jipya kutoka kwenye kituo chake cha Mkubwa na Wanawe.
Kundi hilo lenye vijana saba linaitwa Salamu TMK na tayari wameachia wimbo wao mpya ‘Nafsi’ pamoja na video yake.
“Vijana wetu wapya kutoka mkubwa na wanawe vijana wanaitwa #SALLAM TMK awa vijana wako saba tunawatoa mtaani wanaitaji kufika mjini na kupata nguvu binafsi ya kuthubutu kupata kununua mkate aya wadau ngoma ya vijana...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Baby J atua ‘Mkubwa na Wanawe’
NA CHRISTOPHER MSEKENA
LICHA ya kuwa na kipaji msanii ni lazima uwe chini ya uongozi na usimamizi mzuri wa kazi zako ili uyafikie mafanikio, hii ameitambua msanii kutoka visiwani Zanzibar, Jamila Abdallah ‘Baby J’, mara baada ya kutangaza kuwa chini ya kituo cha Mkubwa na Wanawe.
Akizungumzia maamuzi yake hayo, Baby J, alisema kwa muda mrefu amekuwa akifanya kazi zake bila ya kuwa na uongozi kitu kilichompotezea muda na kuyachelewesha mafanikio yake licha ya kuwa na kipaji.
“Wasanii wote...
9 years ago
Bongo506 Jan
Said Fella anawapoteza Baby J na Berry Black – AT
![AT](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/AT-300x194.jpg)
Msanii wa muziki wa mduara AT, amezikandia jitihada za mkurugenzi wa Mkubwa na Wanawe Said Fella za kuwachukua na kuwasimamia wasanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J na Berry Black kwa madai amechukua ili kuwapotezea muda.
AT ambaye ameonesha dhahiri kutofurahishwa na mfumo wa muziki hapa Tanzania ambao kwa upande wake anaona unabana wasanii wa muziki kutoka Zanzibar, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa ni kuwanyonya na si kuwasaidia.
“Mtu anawachukua wasanii wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Mkubwa na Wanawe kuzindua bendi
KITUO cha kuvumbua vipaji cha Mkubwa na Wanawe cha Temeke, jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuzindua bendi yake ya muziki wa dansi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Mkubwa Fella kustaafu muziki
MENEJA wa Kundi la Temeke Wanaume Family, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ amesema wakati wake wa kujihusisha na masuala ya muziki anaona umefika mwisho, hivyo anataka kutoa nafasi kwa wengine. Akizungumza...
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Fella, Baby J kusaka vipaji visiwani Zanzibar
NA MELCKZEDECK SIMON
MKURUGENZI wa Kundi la Mkubwa na Wanawe na Diwani wa Kata ya Kilungule, Said Fella, ameelekeza nguvu zake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kusaka vipaji vya wasanii wenye uwezo wa kuimba na kucheza lakini wanakosa sehemu ya kuonyesha vipaji vyao.
Katika msako huo wa wasanii, Fella ameongozana na wasanii wawili waliojiunga na kundi lake ambao wana asili ya Zanzibar, Berry Black na mwanadada Baby J, ambao watatumika kama majaji katika kazi hiyo.
“Nashukuru nimepata mapokezi...
11 years ago
Michuzi12 May
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMvrq7-SHvk/VUsMuSHusnI/AAAAAAAHV0A/5rYSZ6AJHeo/s72-c/download%2B(1).jpg)
MKUBWA FELLA APIGWA KABALI NA 93.7 EFM
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMvrq7-SHvk/VUsMuSHusnI/AAAAAAAHV0A/5rYSZ6AJHeo/s640/download%2B(1).jpg)