Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fella atambulisha kundi jipya kutoka Mkubwa na Wanawe, ni SALAMU TMK

fella3

Meneja mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Said Fella kabla mwaka 2015 haujaisha ametambulisha kundi jipya kutoka kwenye kituo chake cha Mkubwa na Wanawe.

fella3

Kundi hilo lenye vijana saba linaitwa Salamu TMK na tayari wameachia wimbo wao mpya ‘Nafsi’ pamoja na video yake.

“Vijana wetu wapya kutoka mkubwa na wanawe vijana wanaitwa #SALLAM TMK awa vijana wako saba tunawatoa mtaani wanaitaji kufika mjini na kupata nguvu binafsi ya kuthubutu kupata kununua mkate aya wadau ngoma ya vijana...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Mkubwa Fella kwenye headlines za utambulisho wa kundi jipya Salamu TMK…(Video)

Mkurugenzi wa Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Said Fella time hii anakualika kuangalia video ya vijana wake wapya wapo saba ambao wanaunda kundi jipya lililopewa jina la Salamu TMK. Vijana hao wameachia video ya single yao mpya ya kwanza iitwayo NAFSI iliyotayarishwa na Pablo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? […]

The post Mkubwa Fella kwenye headlines za utambulisho wa kundi jipya Salamu TMK…(Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Global Publishers

New Video: Salamu TMK (Mkubwa na Wanawe) ~ Nafsi

Salam TMK ni zao jingine kutoka katika Kituo cha Mkubwa na Wanawe na hii ni kazi yao ya kwanza kabisa ambayo imetengenezwa katika Studio za Mkubwa na Wanawe chini ya Producer Shirko wa Mkubwa na Wanawe.

Salamu TMK inajumla ya wasanii 8 kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania. Sikiliza kazi hii inaitwa Nasfi.

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella amvuta Baby J Mkubwa na Wanawe

Said Fella ameamua kumchukua msanii kutoka visiwani Zanzibar, Baby J kwenye himaya yake ya Mkubwa na Wanawe. Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale ambaye amekuwa akifanya kazi kwa kushirikiana na Fella ametoa taarifa hiyo kupitia Instagram. “Nipo na mkali wa kike pekee aliyebaki znz kwa kuona ujuzi wake mkubwa na wanawe imemchukua ili kulinda […]

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella aanzisha makundi mapya, ‘Salam TMK’ na ‘Waswahili TikaTika’

fella3

Said Fella ameanzisha makundi mawili mapya ya muziki, ‘Salam TMK’ na ‘Waswahili TikaTika.’ kutoka Mkubwa na Wanae.
fella3

Fella ameiambia Bongo5 kuwa tayari vijana hao wameshaandaa kazi zao na zinatarajiwa kuanza kuonekana hivi karibuni.

“Licha ya kuwa na vijana 102, bendi itakuwa ni Yamoto tu, kila msanii nitakuwa namtoa kwa style yake,” amesema.

“Kuna kundi linaitwa Salam TMK hawa ni vijana kutoka Mkubwa na WanaWe, wapo wanane, hawa watakuwa wanaimba kama zamani ulivyokuwa unaona wanaimba TMK...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Salamu TMK – Nafsi

LEO-32444

Baada ya kutoka Yamoto Band na TMK Wanaume Family, Said Fella time hii ameatambulisha vijana wake wapya wapo saba ambao wanaunda kundi jipya lililopewa jina la Salamu TMK. Vijana hao wameachia video ya single yao mpya ya kwanza inaitwa “NAFSI”, Video imengozwa na Pablo.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkubwa na Wanawe kuzindua bendi

KITUO cha kuvumbua vipaji cha Mkubwa na Wanawe cha Temeke, jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuzindua bendi yake ya muziki wa dansi. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Baby J atua ‘Mkubwa na Wanawe’

Baby JNA CHRISTOPHER MSEKENA

LICHA ya kuwa na kipaji msanii ni lazima uwe chini ya uongozi na usimamizi mzuri wa kazi zako ili uyafikie mafanikio, hii ameitambua msanii kutoka visiwani Zanzibar, Jamila Abdallah ‘Baby J’, mara baada ya kutangaza kuwa chini ya kituo cha Mkubwa na Wanawe.

Akizungumzia maamuzi yake hayo, Baby J, alisema kwa muda mrefu amekuwa akifanya kazi zake bila ya kuwa na uongozi kitu kilichompotezea muda na kuyachelewesha mafanikio yake licha ya kuwa na kipaji.

“Wasanii wote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani