PROINS KUSAKA VIPAJI MIKONI
Afisa masoko wa kampuni hiyo, Bw. Evans Steven akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni hiyo. Kulia ni jaji wa mashindano hayo, Single Mtambalike ‘Richie’ na msemaji mkuu, Joshua Moshi. Richie akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntHBD96s0mwwJKa*gZY2WVUVEuHDuPRe6aw-bSh6Z*ppdymkuW8BPVCMm4JlFh5*cmqldVCNgmeKUPSM277Jsd9o/IMG20150530WA0001.jpg?width=650)
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Fella, Baby J kusaka vipaji visiwani Zanzibar
NA MELCKZEDECK SIMON
MKURUGENZI wa Kundi la Mkubwa na Wanawe na Diwani wa Kata ya Kilungule, Said Fella, ameelekeza nguvu zake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kusaka vipaji vya wasanii wenye uwezo wa kuimba na kucheza lakini wanakosa sehemu ya kuonyesha vipaji vyao.
Katika msako huo wa wasanii, Fella ameongozana na wasanii wawili waliojiunga na kundi lake ambao wana asili ya Zanzibar, Berry Black na mwanadada Baby J, ambao watatumika kama majaji katika kazi hiyo.
“Nashukuru nimepata mapokezi...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Miss Dar Indian Ocean kusaka vipaji leo
WAREMBO wa Miss Dar Indian Ocean 2014 wanatarajiwa kuchuana kumsaka mwenye kipaji leo usiku kwenye ukumbi wa hoteli ya Chichi, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
10 years ago
GPLSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI LA TMT JIJINI DAR LAZIDI KUNOGA
10 years ago
CloudsFM01 Apr
Paul Makonda kusaka vipaji kupitia Kinondoni Talent Search
Akizungumza na waandishi wa leo alisema; “Kinondoni Talent Search ni mpango wenye lengo kuu la kuwatambua vijana waishio kwenye wilaya ya Kinondoni wenye vipaji vya kuimba, Kuchekesha ambao wengi wao wapo katika mazingira magumu ya kiuchumi jambo linalowafanya...
11 years ago
GPLWAKAZI WA MWANZA WAJITOKEZA KATIKA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA
11 years ago
GPLSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO