SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI LA TMT JIJINI DAR LAZIDI KUNOGA
Baadhi ya washiriki wa shindano la (TMT)wakijadili Script waliyopewa . Baadhi ya wahudumu wa shindano wakiwa katika meza wakati wa usaili unaoendelea. Jaji wa shindano hilo la TMT, Haji Salum 'Mboto' akifanya mahojiano na mshiriki wa shindano baada ya kutoka katika chumba maalum cha usaili hatua ya pili.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntHBD96s0mwwJKa*gZY2WVUVEuHDuPRe6aw-bSh6Z*ppdymkuW8BPVCMm4JlFh5*cmqldVCNgmeKUPSM277Jsd9o/IMG20150530WA0001.jpg?width=650)
10 years ago
GPLSHINDANO LA VIPAJI LA TMT KUHAMIA ARUSHA KESHO
10 years ago
Bongo Movies23 Apr
Shindano la TMT 2015 Lazinduliwa Rasmi Leo, Jijini Dar
Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2015 limezinduliwa rasmi leo huku baadhi ya vigezo vikiwa vimeboreshwa, akizungumzia hayo Meneja wa Mradi wa TMT 2015, Saul Mpock amesema kuwa "mwaka huu Kigezo kimojawapo ni mshiriki kuwa na umri kuanzia miaka 16 na kuendelea huku fomu za kushiriki shindano hilo zikipatika siku ya usaili katika mkoa husika na bila gharama yoyote"
Shindano la Tanzania Movie Talents 2015 linaanza rasmi kesho huku Kanda ya Ziwa ndio itakayofungua pazia la shindano hili...
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINANDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UCHEKESHAJI KUFANYIKA OKTOBA 3 MWAKA HUU JIJINI DAR
11 years ago
GPLSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO
11 years ago
GPLWAKAZI WA MWANZA WAJITOKEZA KATIKA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA
9 years ago
Bongo512 Oct
Kanye West ashiriki kwenye auditions za shindano la kusaka vipaji ‘American Idol’!
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Washindi 3 Bora wa Shindano la kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania kwa kanda ya ziwa kupatikana leo
Majaji wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike (kulia), Yvonne Chery (Katikati) na Roy Sarungi (Kushoto) wakipitia alama za washiriki kwaajili ya kuweza kuwatangaza washindi waliofanikiwa kuingia hatua ya tatu ambapo wanachukuliwa washiriki 30 kwaajili ya kupata mchujo wa washindi watatu bora ambao wataibuka na Kitita Cha Shilingi laki 5 kila Mmoja kwa Kanda ya Ziwa na baadae kujiunga na washindi wengine watatu...