Mkulima msaka urais atua Moro
MKULIMA wa Kigoma anayewania kupitishwa na CCM agombee urais kwa chama hicho, Idelphonce Bilole, ametua mkoani Morogoro akiendelea kutafuta wadhamini katika mikoa 15 nchini, huku akisisitiza elimu si kigezo cha yeye kushindwa kuwania nafasi hiyo ya juu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jun
Mkulima anogesha mbio za urais
MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
10 years ago
Habarileo10 Jun
Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM
KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...
10 years ago
Vijimambo08 Jun
TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/23.jpg)
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...
11 years ago
Michuzi09 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-haIr6xEyLBc/U72XUezmeOI/AAAAAAAAn5Y/Wnsyr7o3SDM/s1600/1.+Kinana+akimlaki+mgeni.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-qJTvY19ZL28/U72XW3Pw-bI/AAAAAAAAn5k/tIlK0AVuRJQ/s1600/2.+Mgeni+akimsalimia+Nape.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Jul
TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATUA DODOMA KUREJESHA FOMU YA URAIS,KAULI MBIU YAKE YAENDELEA KUWIKA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11659283_940261159369289_5961995515945303518_n.jpg?oh=d80aee22e1b16fae1248e92a0b99cac7&oe=563324A8)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258682702870_4775355713855013472_n.jpg?oh=1ca50b169b773361d84774d88131dd25&oe=56263509)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258382702900_5674025754231206561_n.jpg?oh=5a4ba6cd2e95d9f875557185dd1b9453&oe=5629E35A)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmHe3qqKdIwR-O0Bp4L4xd58-6ul7hvQJ5gugsxzYLfg3v7XK6q1gynQCygVTL*ETAd8tgk0URQlnUTqPAXffG1/mkenya.jpg)
Mkenya mchana nyavu atua Simba atua
9 years ago
Bongo504 Dec
Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo
![Belle99](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Belle99-300x194.jpg)
Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.
What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya
— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015
Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...