TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE
Ningependa kutoa maoni kidogo kuhusu mjadala na mchakato inayoendelea . hivi sasa tunashuhudia watangaza nia wengi wakitangaza nia kwa kutoa hotuba moto moto za kushawishi wananchi wachaguliwe. Nimependa dialogue inayoendelea kuhusu Hotuba nzuri/na kutenda ukishachaguliwa. bahati nzuri kwenye maeneo yote mawilii nina uzoefu wa kutosha. katika utumishi wangu serikalini mpaka kufikia kustaafu nimeona hotuba nzuri na mbaya zinavyoandikwa.
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Warioba: Tunahitaji rais mzalendo
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Wasomi: Tunahitaji rais ajae awe dikteta
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Feb
WATANGAZA NIA WAELEWE KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO ATABEBA MIZIGO MIZITO
![](http://api.ning.com/files/e*Q7chwcF2avGm-gqf2soet-jh75jW3pFdvJgLq4IL3*-8QJnKUdJdTQi0fpvqKhwPQwL9CwQ1N2i*ytuNrwK4JewereB9iZ/kikwe.jpg?width=650)
TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai, hatuna budi kumpongeza kwa kutupendelea kwani wengi kawachukua na sasa wametangulia mbele za haki.
Baada ya kusema hayo nianze mada ya leo kwa kusema kwamba rais ajaye wa awamu ya tano hapa nchini atabeba mizigo mizito na kwa hali hiyo ni wazi kwamba atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko watangulizi wake wanne.
Naamini kwamba wanasiasa wote waliotangaza nia ya kuwania ofisi hiyo kubwa kuliko zote nchini kiutendaji wanalitambua...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...