Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANGAZA NIA WAELEWE KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO ATABEBA MIZIGO MIZITO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai, hatuna budi kumpongeza kwa kutupendelea kwani wengi kawachukua na sasa wametangulia mbele za haki.

Baada ya kusema hayo nianze mada ya leo kwa kusema kwamba rais ajaye wa awamu ya tano hapa nchini atabeba mizigo mizito na kwa hali hiyo ni wazi kwamba atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko watangulizi wake wanne.

Naamini kwamba wanasiasa wote waliotangaza nia ya kuwania ofisi hiyo kubwa kuliko zote nchini kiutendaji wanalitambua...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride maalum la Jeshi la Ulinzi lenye Umbo la Alfa, ikiwa ni ishara ya kuanza kwa Serikali mpya ya awamu ya tano, katika Sherehe za kuapishwa kwake, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam leo. Sherehe hizo zimehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa ndani na nje ya nchi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh....

 

9 years ago

Raia Tanzania

‘Losassa, Sumaye ni mizigo mizito’

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) muda mfupi ujao kitajutia uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu aliyejiuzu, Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye kwa sababu viongozi hao ni mizigo isiyobebeka kama lumbesa.

Matamshi hayo yalitolewa jana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamdu Shaka, katika mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea ubunge Jimbo la Isimani, William Lukuvi, uliofanyika kwenye viwanja...

 

10 years ago

Mwananchi

Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka

Ni dhahiri kwamba rais ajaye wa awamu ya tano nchini mwetu atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko ilivyokuwa kwa watangulizi wake wanne.

 

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano

MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiwaonesha waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambayo itakuwa ikitumika katika ofisi za Serikali na Binafsi ambayo inapatikana Idara ya Habari (MAELEZO) kwa gharama ya Shilingi 15,000/.

 

10 years ago

Vijimambo

TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE

Ningependa kutoa maoni kidogo kuhusu mjadala na mchakato inayoendelea . hivi sasa tunashuhudia watangaza nia wengi wakitangaza nia kwa kutoa hotuba moto moto za kushawishi wananchi wachaguliwe. Nimependa dialogue inayoendelea kuhusu Hotuba nzuri/na kutenda ukishachaguliwa. bahati nzuri kwenye maeneo yote mawilii nina uzoefu wa kutosha. katika utumishi wangu serikalini mpaka kufikia kustaafu nimeona hotuba nzuri na mbaya zinavyoandikwa. 
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...

 

9 years ago

CCM Blog

RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI

 Dk. John Pombe Magufuli akila kiapo cha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Jaji Mkuu Mhe. Mohamed Chande Othman kwenye sherehe fupi zilizofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiinua mkuki na ngao juu mara baada ya kuapishwa kwenye uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata

01

Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mimi ndiye rais wa awamu ya tano, stishwi na mafuriko, hata Papa John II watu walifurika kumwona

press

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza na waandishi wa habari wa Star TV, TBC na ITV juu ya hali ya kampeni ilivyo hadi sasa.(PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, SINGIDA

ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama  cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, Hashim Rungwe, ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani