Hakika, rais wa awamu ya tano atateseka
Ni dhahiri kwamba rais ajaye wa awamu ya tano nchini mwetu atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko ilivyokuwa kwa watangulizi wake wanne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Oct
BREAKING NEWS: Magufuli rais wa awamu ya tano
MGOMBEA urais wa Jamhauri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Joseph Magufuli amechaguliwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Tanzania kwa asilimia 58.46 ya kura zote zilizopigwa kufuatia uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 mwezi huu.
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.
10 years ago
Vijimambo08 Jun
TUNAHITAJI RAIS AWAMU YA TANO AWE MZALENDO SIO MSAKA TONGE
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/23.jpg)
Nimekuwa Msaidizi wa Viongozi mbalimbali na...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Feb
WATANGAZA NIA WAELEWE KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO ATABEBA MIZIGO MIZITO
![](http://api.ning.com/files/e*Q7chwcF2avGm-gqf2soet-jh75jW3pFdvJgLq4IL3*-8QJnKUdJdTQi0fpvqKhwPQwL9CwQ1N2i*ytuNrwK4JewereB9iZ/kikwe.jpg?width=650)
TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai, hatuna budi kumpongeza kwa kutupendelea kwani wengi kawachukua na sasa wametangulia mbele za haki.
Baada ya kusema hayo nianze mada ya leo kwa kusema kwamba rais ajaye wa awamu ya tano hapa nchini atabeba mizigo mizito na kwa hali hiyo ni wazi kwamba atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko watangulizi wake wanne.
Naamini kwamba wanasiasa wote waliotangaza nia ya kuwania ofisi hiyo kubwa kuliko zote nchini kiutendaji wanalitambua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s72-c/jpm1.jpg)
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xnX5PIIUtt4/VjtQes1oPxI/AAAAAAADBzg/oGWuNGxo2PQ/s640/jpm1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ecH0S1dOskA/VjtQ9LhIKpI/AAAAAAADB0Y/umjX2Ug3Xfs/s640/jpm3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Mimi ndiye rais wa awamu ya tano, stishwi na mafuriko, hata Papa John II watu walifurika kumwona
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ukombozi wa Umma (CHAUMA) Hashim Rungwe akizungumza na waandishi wa habari wa Star TV, TBC na ITV juu ya hali ya kampeni ilivyo hadi sasa.(PICHA NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, SINGIDA
ZIKIWA zimebaki siku 27 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA, Hashim Rungwe, ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika...
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO