Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Losassa, Sumaye ni mizigo mizito’

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) muda mfupi ujao kitajutia uamuzi wa kumkaribisha Waziri Mkuu aliyejiuzu, Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye kwa sababu viongozi hao ni mizigo isiyobebeka kama lumbesa.

Matamshi hayo yalitolewa jana na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamdu Shaka, katika mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea ubunge Jimbo la Isimani, William Lukuvi, uliofanyika kwenye viwanja...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATANGAZA NIA WAELEWE KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO ATABEBA MIZIGO MIZITO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
TUMSHUKURU Mungu kwa kutupa uhai, hatuna budi kumpongeza kwa kutupendelea kwani wengi kawachukua na sasa wametangulia mbele za haki.

Baada ya kusema hayo nianze mada ya leo kwa kusema kwamba rais ajaye wa awamu ya tano hapa nchini atabeba mizigo mizito na kwa hali hiyo ni wazi kwamba atakuwa na wakati mgumu pengine kuliko watangulizi wake wanne.

Naamini kwamba wanasiasa wote waliotangaza nia ya kuwania ofisi hiyo kubwa kuliko zote nchini kiutendaji wanalitambua...

 

9 years ago

Mtanzania

Mawaziri waja na mikakati mizito

mtz1NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM

MAWAZIRI wapya walioteuliwa wiki iliyopita na Rais Dk. John Magufuli, wameapishwa na kueleza mikakati yao.

Wakizungumza jana jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa, Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, amewaahidi Watanzania kupata elimu bora, huku Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, akitangaza kiama kwa wakwepa kodi.

 

PROFESA NDALICHAKO

Profesa Ndalichako alisema kipaumbe chake cha kwanza ni kuhakikisha elimu...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wakongwe mizigo Ashanti’

Kocha wa Ashanti  United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.

 

11 years ago

Habarileo

Kilichowabakiza ‘mawaziri mizigo’

SERIKALI imetoa kauli kuhusu tuhuma zilizokuwa zikiwakabili baadhi ya mawaziri, waliobatizwa jina la ‘Mawaziri Mizigo’, na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kukabiliana na kero zilizosababisha wapewe jina hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Walioondoka Chadema ni mizigo’

 Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chadema mjini Kigoma wamesema kuondoka kwa viongozi wao watatu wa ngazi ya Mkoa na kutangaza kujiunga na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT) kumewafariji na kuwapunguzia mzigo wa fikra kwa vile walikwishaonyesha nia ya kukihama chama hicho tangu Desemba 2013.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizigo yatesa CCM

UTEUZI wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita, umekimega mapande mawili yanayotishia mustakabali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili, limebaini. Kabla ya uteuzi huo, Kamati Kuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mizigo’ itaisambaratisha CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amenukuliwa siku za hivi karibuni akisema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisitafute dawa ya mawaziri ‘mizigo’, badala yake wamwajibishe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani