‘Wakongwe mizigo Ashanti’
Kocha wa Ashanti United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s72-c/Blue%2BFlyier.png)
USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HFELt3bAk6E/VMl3MRx0G0I/AAAAAAAACnA/El8ROLoVekA/s1600/Blue%2BFlyier.png)
10 years ago
Habarileo25 Feb
Watendaji 'wakongwe' kupanguliwa
WATENDAJI wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10 , wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha kufanya kazi kwa mazoea.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7b7wHpTBVMo/VoK7irKJ0sI/AAAAAAAIPSA/wM584C0xOuk/s72-c/bc4df220-e883-4fbc-ac59-08796f317c73.jpg)
wakongwe wa habari na sheria wanapokutana...
![](http://2.bp.blogspot.com/-7b7wHpTBVMo/VoK7irKJ0sI/AAAAAAAIPSA/wM584C0xOuk/s640/bc4df220-e883-4fbc-ac59-08796f317c73.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fkl7kqmuGiQ/VoK7jSpVtPI/AAAAAAAIPSE/JZYTHN3nkr0/s640/ca16f20a-a90a-40cf-b984-d01aa664109e.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Wakongwe tunakufa na hazina kubwa -2
9 years ago
Bongo Movies17 Nov
Wasanii wa Leo Wanatuogopa Wakongwe – Mau
MSANII wa filamu na vichekesho Maulid Alli ‘Maufundi’ ametoa kali ya mwaka pale aliposema moja ya sababu kubwa ya yeye na wasanii wakongwe kushiriki filamu chache ni uoga wa wasanii walioigia katika tasnia ya filamu sasa na kupata nafasi ya kutengeneza filamu kisha kusambazwa.
“Ni utani kumweka Simba na Swala katika zizi moja eti Simba kashiba, wasanii sisi wa kitambo kile tuna njaa ya kazi tufanye vizuri watazamaji wetu wafurahi na uwezo wa kuigiza upo, hawa wenzetu wana mitaji sasa...
9 years ago
Bongo Movies05 Nov
Soko Haliuliwi na Wasanii Wakongwe- Monalisa
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.
kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.
Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wakongwe 10 wakomaa kiubishi Ligi Kuu