Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wakongwe mizigo Ashanti’

Kocha wa Ashanti  United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

USAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBARUSAFIRSHAJII MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHO MWA FEBRUARY.KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji 'wakongwe' kupanguliwa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WATENDAJI wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10 , wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha kufanya kazi kwa mazoea.

 

9 years ago

Michuzi

wakongwe wa habari na sheria wanapokutana...

 Wakongwe wa habari na sheria wakijitahidi kuingia mwakani kwa sera za Hapa ni Kazi Tu! jijini Arusha ni Jenerali Ulimwengu na Danford Mpumilwa Wakongwe wa habari na sheria wakijitahidi kuingia mwakani kwa sera za Hapa ni Kazi Tu! jijini Arusha ni Jenerali Ulimwengu na Danford Mpumilwa wakiwa na mwanasheria mkongwe Chief Mirambo

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa 3 wakongwe wauawa Burundi

Watawa watatu wakongwe wameuawa mjini Bunjumbura katika makazi ya watawa wanawake na mhalifu mwenye tatizo la kiakili.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakongwe tunakufa na hazina kubwa -2

Katika sehemu ya kwanza ya maelezo ya msanii mkongwe Catherine John (Bi Nyakomba) Jumamosi iliyopita alieleza mambo mbalimbali kuhusu maisha yake.

 

9 years ago

Bongo Movies

Wasanii wa Leo Wanatuogopa Wakongwe – Mau

MSANII wa filamu na vichekesho Maulid Alli ‘Maufundi’ ametoa kali ya mwaka pale aliposema moja ya sababu kubwa ya yeye na wasanii wakongwe kushiriki filamu chache ni uoga wa wasanii walioigia katika tasnia ya filamu sasa na kupata nafasi ya kutengeneza filamu kisha kusambazwa.

“Ni utani kumweka Simba na Swala katika zizi moja eti Simba kashiba, wasanii sisi wa kitambo kile tuna njaa ya kazi tufanye vizuri watazamaji wetu wafurahi na uwezo wa kuigiza upo, hawa wenzetu wana mitaji sasa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Soko Haliuliwi na Wasanii Wakongwe- Monalisa

YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.

kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.

Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana

George Kirby 103 na bi harusi, Doreen Luckie, 92 wamekula kiapo cha kuwa muaminifu kwake hadi kifo kitakapo watenganisha!

 

9 years ago

Mwananchi

Wakongwe 10 wakomaa kiubishi Ligi Kuu

Waswahili husema ukubwa dawa. Hilo ndilo linaloweza kutumika kueleza mchango wa baadhi ya wachezaji nyota wa klabu za Ligi Kuu ambao licha ya umri kusonga mbele, wamekuwa wenye mchango mkubwa kwa klabu hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani