Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana

George Kirby 103 na bi harusi, Doreen Luckie, 92 wamekula kiapo cha kuwa muaminifu kwake hadi kifo kitakapo watenganisha!

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi mchezaji ghali zaidi duniani

Lionel Messi ampiga bao Christiano Ronaldo katika orodha ya Wachezaji wenye thamani duniani

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais masikini zaidi duniani. Unamfahamu?

Sifa kwa wanasiasa kokote duniani ni nadra, hasa kwenye mitandao ya kijamii, lakini Rais wa Uruguay amekuwa akimiminiwa sifa tele

 

9 years ago

Bongo5

Wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani hii ni kwa mujibu wa ttandao wa www.sokkaa.com umetoa orodha hii ‘Most Handsome Footballers in the World’ 10. Mats Hummels-Borussi Drtmund Ni mchezaji wa kijerumani anaye chezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho 9. Gerrard Piqué–FC Barcelona Gerrard Pique anakamata nafasi ya […]

 

11 years ago

CloudsFM

TALAKA YENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI

Mmiliki wa club ya timu ya AS Monaco inayocheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa Dmitry Rybolovlev ambaye pia anashika nafasi ya 148 katika list ya ma billionea wanaotajwa na Forbes Magazine. Yeye pamoja na aliyekua mke wake Elena wamevunja rekodi ktk historia ya fidia za ndoa zilizowahi kuvunjika duniani.
Hiyo ni baada ya mahakama ya Geneva Switzerland hivi karibuni kumuamuru jamaa amlipe mtalaka wake zaidi ya dola bilioni 4.5
Ndoa hiyo ilidumu kwa miaka 23 na waliingia kwenye mchakato...

 

10 years ago

BBCSwahili

Saa ghali zaidi duniani yanunuliwa

Saa ghali zaidi duniani imenunuliwa mnadani huko Geneva,Uswiss kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 21.3.

 

11 years ago

BBCSwahili

Singapore mji ghali zaidi duniani

Singapore umetajwa kuwa mji ghali zaidi duniani kuishi kwa mwaka 2014 na kuipiku miji mingine 131

 

11 years ago

Habarileo

Watoto darasa la 7 waoana

MWANAFUNZI aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa moja mwenye umri wa miaka 15.

 

10 years ago

Africanjam.Com

ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI

 Klabu ya Manchester United ya nchini England imetangazwa kuwa klabu yenye thamani kuliko zote duniani kufuatia utafiti uliondeshwa katika kipindi cha miezi 12 iliyopita , utafiti uliohusisha klabu kubwa za soka duniani.

Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.

        Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani