Watoto darasa la 7 waoana
MWANAFUNZI aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa moja mwenye umri wa miaka 15.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-neWP6fd9VMs/VRAWjkK37sI/AAAAAAAHMbA/HXrcJ7OmiVg/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imesaidia ujenzi wa darasa kwa ajili ya watoto wenye ulemavu katika shule ya msingi Pongwe iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga.Darasa hilo limejengwa ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kusaidia maendeleo ya elimu nchini kupitia mpango wa “ Tunakujali” unaohusisha wafanyakazi wake kuchangia katika shughuli za kijamiiMkurugenzi wa Huduma za jamii wa kampuni ya Airtel Bi Adriana Lyamba amefanya ukaguzi wa ujenzi huo na kuahidi kuendelea kusaidia mpango wa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili
>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wanaume watatu waoana Thailand
Wanaume watatu waliofunga ndoa siku ya wapendanao {Valentine} nchini Thailand wamepata umaarufu katika mtandao
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?
Wegesa na Nyanswi,ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.Wameoana kwa miaka 15.Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali.Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo.
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana
George Kirby 103 na bi harusi, Doreen Luckie, 92 wamekula kiapo cha kuwa muaminifu kwake hadi kifo kitakapo watenganisha!
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Brad Pitt na Angelina Jolie waoana
Pitt na Jolie walifunga pingu za maisha nchini Ufaransa Jumamosi na kumaliza miaka mingi ya suitofahamu ikiwa watawahi kuoana.
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji
Maharusi wawili nchini Polland walifanya harusi yao katika bwawa lenye lita milioni 1.5 za maji ya bahari ambalo hutumiwa kwa mafunzo ya upigaji mbizi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania