Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume watatu waoana Thailand

Wanaume watatu waliofunga ndoa siku ya wapendanao {Valentine} nchini Thailand wamepata umaarufu katika mtandao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Nilibakwa na wanaume watatu siku ya harusi yangu

Terry Gobanga ni Kasisi aliyepitia madhila ya kubakwa saa kadhaa kabla ya harusi yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran

Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.

 

11 years ago

Habarileo

Watoto darasa la 7 waoana

MWANAFUNZI aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa moja mwenye umri wa miaka 15.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana

George Kirby 103 na bi harusi, Doreen Luckie, 92 wamekula kiapo cha kuwa muaminifu kwake hadi kifo kitakapo watenganisha!

 

10 years ago

BBCSwahili

Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji

Maharusi wawili nchini Polland walifanya harusi yao katika bwawa lenye lita milioni 1.5 za maji ya bahari ambalo hutumiwa kwa mafunzo ya upigaji mbizi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?

Wegesa na Nyanswi,ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.Wameoana kwa miaka 15.Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali.Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brad Pitt na Angelina Jolie waoana

Pitt na Jolie walifunga pingu za maisha nchini Ufaransa Jumamosi na kumaliza miaka mingi ya suitofahamu ikiwa watawahi kuoana.

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Thailand lalaaniwa

Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani