Wanaume watatu waoana Thailand
Wanaume watatu waliofunga ndoa siku ya wapendanao {Valentine} nchini Thailand wamepata umaarufu katika mtandao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 May
Waridi wa BBC: Nilibakwa na wanaume watatu siku ya harusi yangu
Terry Gobanga ni Kasisi aliyepitia madhila ya kubakwa saa kadhaa kabla ya harusi yake.
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wanaume watatu wakamatwa kwa kuwauza watoto wachanga Instagram Iran
Mmoja wa watoto hao wao akiwa na umri wa siku 20, walidai wa kuuzwa kwa kati ya $2,000 na $2,500.
11 years ago
Habarileo15 Mar
Watoto darasa la 7 waoana
MWANAFUNZI aliyehitimu Darasa la Saba mwaka jana, jina tunalo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, kwa madai ya kumuoa msichana waliyekuwa wakisoma naye darasa moja mwenye umri wa miaka 15.
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Wapenzi wakongwe zaidi duniani waoana
George Kirby 103 na bi harusi, Doreen Luckie, 92 wamekula kiapo cha kuwa muaminifu kwake hadi kifo kitakapo watenganisha!
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Maharusi waoana ndani ya bwawa la maji
Maharusi wawili nchini Polland walifanya harusi yao katika bwawa lenye lita milioni 1.5 za maji ya bahari ambalo hutumiwa kwa mafunzo ya upigaji mbizi .
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Wanawake waoana nchini Tanzania,kunani?
Wegesa na Nyanswi,ni wanawake wawili kutoka kwa jamii ya Wakuria.Wameoana kwa miaka 15.Wajane wasio na mrithi wa kiume hawawezi kurithi mali.Wagesa alimuoa Nyanswi kama mkewe ili kutatua tatizo hilo.
11 years ago
BBCSwahili28 Aug
Brad Pitt na Angelina Jolie waoana
Pitt na Jolie walifunga pingu za maisha nchini Ufaransa Jumamosi na kumaliza miaka mingi ya suitofahamu ikiwa watawahi kuoana.
10 years ago
Vijimambo
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi

Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Shambulizi la Thailand lalaaniwa
Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania