Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi la Thailand lalaaniwa

Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi taabani Thailand

Maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladeshi na Myanmar wametelekezwa karibu na ufuo wa Thailand kufuatia masharti makali yaliyowekwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Thailand yakataza mimba za biashara

Sheria inayowakataza wapenzi wawili wa kigeni wanaotaka kushika mimba kupitia mtu mwengine imeanza kutekelezwa nchini Thailand.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sheria ya kijeshi yatangazwa Thailand

Jeshi la Thailand limetangaza sheria za kijeshi katika juhudi za kurejesha utulivu wakati nchi hiyo imekumbwa na mzozo wa kisiasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand

Polisi nchini Thailand wametoa picha ya mwanamme mmoja ambaye anahusishwa na mlipuko ambao uliukumba mjini wa Bangkok

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lafanya mapinduzi Thailand

Mkuu wa majeshi nchini Thailand ametangaza mapinduzi , akisema jeshi sasa linachukua udhibiti wa serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi Thailand lamuhifadhi Bi Shinawatra

Jeshi nchini Thailand linamshikilia waziri mkuu Bi Yingluck Shinawatra baada ya kumpindua mamlakani hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 20 wameuawa Thailand

Mojawepo ya sehemu takatifu na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Thailand, Bangkok imelipuliwa na mlipuko mkubwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Thailand kufunga kambi za walanguzi

Waziri mkuu wa Thailand Prayut Chan-o-cha, ameamrisha kuondolewa kwa kambi zinazotumiwa kwa ulanguzi katika kipindi cha chini ya siku kumi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu waoana Thailand

Wanaume watatu waliofunga ndoa siku ya wapendanao {Valentine} nchini Thailand wamepata umaarufu katika mtandao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani