Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thailand kufunga kambi za walanguzi

Waziri mkuu wa Thailand Prayut Chan-o-cha, ameamrisha kuondolewa kwa kambi zinazotumiwa kwa ulanguzi katika kipindi cha chini ya siku kumi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Walanguzi 9 kuuawa Indonesia

Utawala nchini Indonesia unafanya maandalizi ya mwisho ya kuuawa kwa walanguzi tisa wa madawa ya kulevya wengi wao raia wa kigeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Walanguzi madini ya Tanzanite wasakwa

Wizara ya Nishati na Madini imeanza operesheni ya kuwakamata watu wanaofanya biashara ya madini ya Tanzanite kinyume cha sheria.

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza

magufuli3

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha  ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).

CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.

Kufunga Kampeni

CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo.  Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi taabani Thailand

Maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladeshi na Myanmar wametelekezwa karibu na ufuo wa Thailand kufuatia masharti makali yaliyowekwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Thailand lalaaniwa

Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lafanya mapinduzi Thailand

Mkuu wa majeshi nchini Thailand ametangaza mapinduzi , akisema jeshi sasa linachukua udhibiti wa serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa Thailand ashtakiwa

Aliyekuwa waziri mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra ameshtakiwa katika mahakama ya juu kwa kosa la kutowajibika

 

10 years ago

BBCSwahili

Thailand yakataza mimba za biashara

Sheria inayowakataza wapenzi wawili wa kigeni wanaotaka kushika mimba kupitia mtu mwengine imeanza kutekelezwa nchini Thailand.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume watatu waoana Thailand

Wanaume watatu waliofunga ndoa siku ya wapendanao {Valentine} nchini Thailand wamepata umaarufu katika mtandao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani